Daktari mmoja katika hospitali huko Gaza amesambaza kanda ya video inayoonyesha sehemu zilizojaa msongamano wa watu waliojeruhiwa huku vita vya sasa kati ya Israel na Hamas vikiendelea.
Video hiyo, ilichukuliwa Ijumaa iliyopita, iliwaonyesha wagonjwa, waliokuwa wamefanyiwa upasuaji, wakiwa wamesimama katika maeneo mbalimbali ya Hospital ya Shifa huko Gaza City.
Katika moja ya picha hizo, mtu mmoja anaonekana akiwa amelala kwenye kitanda kilicho tapakaa damu.
Dkt. Marwan Abusada, ambaye ni mkuu wa kitengo cha upasuaji katika Hospitali ya Shifa, alisema kuwa hospitali hiyo ilikuwa imeelemewa na wagonjwa na kulikuwa hakuna chumba kupokea wagonjwa wapya.
Shifa is one of the main hospitals in the northern half of the Gaza Strip.
Shifa ni moja ya hospitali kadhaa kuu katika nusu ya upande wa kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesihi kuwepo na sitisho la haraka la mapigano ili kuruhusu misaada kuingia katika eneo la Wapalestina, wakati chakula, maji na mafuta yanayohitajika kwa ajili ya majenereta yanayotoa umeme hospitalini yakiwa yanakwisha. (AP)
#israel #gaza #iran #reels #igreels #voa #hamas
18 Aug 2025
- Chinese foreign minister Wang Yi will visit India from Monday to Wednesday, China's foreign ministry said in a statement on Saturday, for talks about a disputed border in the Himalayas.
18 Aug 2025
- The high-profile meeting, set to take place at the KCB Leadership Centre in Nairobi, will bring together all MPs from the two parties under the framework of the broad-based government arrangement.
18 Aug 2025
- The inferno, which broke out earlier this week, claimed the life of one person while two minors are fighting for their lives at the Kenyatta National Hospital after sustaining severe burns.
18 Aug 2025
- In a strongly worded social media post, the former Gatundu South MP criticized what he termed the “broad-brush condemnation” of the Kikuyu community in the wake of the impeachment of former Deputy President Rigathi Gachagua. Kuria urged leaders to focus…
17 Aug 2025
- Overnight Saturday to Sunday, the Allied Democratic Forces carried out attacks against civilians in the town of Oicha, looting shops and setting fire to homes, according to accounts collected by AFP on the spot.
17 Aug 2025
- The meeting follows a summit in Alaska between Trump and Russian President Vladimir Putin that failed to yield any breakthrough on an immediate ceasefire that the US leader had been pushing for. 3