Barua za mapenzi za miaka 250 zafunguliwa kwa mara ya kwanza
Barua zilizochukuliwa na Jeshi la Uingereza kabla ya kuwafikia Mabaharia wa Ufaransa wakati wa Vita vilivyodumu kwa Miaka Saba zimefunguliwa kwa mara ya kwanza.
Ziliandikwa mwaka 1757-8, zilitumwa kutoka kwa wapendwa wao kwenda kwa wafanyakazi kwenye meli ya kivita ya Ufaransa, lakini hazikuwafikia.
Prof Renaud Morieux kutoka Chuo Kikuu cha Cambridge, ambaye aligundua barua hizo, alisema zinatoa uelewa wa kuvutia kuhusu maisha ya Mabaharia na familia zao katika miaka ya 1700.
Katika barua hizo ipo kutoka kwa mke, mama akihoji mtoto wake kwa kukaa kimya na kutomuandikia.
#bbcswahili #ufaransa #uingereza
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
9 May 2025
- The governor's relationship with Raila is rumoured to be hot and cold with cracks emerging in their association.
9 May 2025
- This comes after President Ruto nominated Erastus Ethekon as IEBC Chairperson.
9 May 2025
- The former DP is challenging his ouster from office in October 2024.
10 May 2025
- The United Democratic Alliance (UDA) disciplinary committee has summoned Nominated Senator Gloria Owoba over her conduct that contravenes the party's Code of Conduct.
9 May 2025
- Suppliers owed hundreds of billion shillings by the government will be paid before the end of the year, President William Ruto has announced.
9 May 2025
- Orange Democratic Movement (ODM) leader Raila Odinga has advised the party's Secretary General Edwin Sifuna to tone down on his criticism of ODM leaders who joined the government under the broad-based partnership.
9 May 2025
- The government has set aside Ksh.950 million in the current financial year to settle claims from victims injured by wild animals.
9 May 2025
- Political leaders paid emotional tributes to the late Kasipul Member of Parliament Charles Ong'ondo Were during his funeral held in Oyugis, Homa Bay County.
9 May 2025
- CS's vow round up week of chaos at University of Nairobi.
9 May 2025
- ODM leader says the killers of the legislators are known and must be brought to book.
9 May 2025
- Widows across the country have been encouraged to join women-led groups to gain access to essential investment and empowerment opportunities. This call to action was made during an empowerment event in Marsabit County, which brought together…
9 May 2025
- KeNHA called on Kenyans to be keen and protect infrastructure for safety purposes.
9 May 2025
- The government has finalised the agreement to lease four sugar factories to private millers in a bid to revitalise the struggling sugar industry.