- 7,281 views
Mashindano ya kimataifa ya mbio za magari ya Safari Rally yaling'oa nanga rasmi baada ya rais Uhuru Kenyatta kuhudhuria hafla hiyo leo mchana katika ukumbi wa KICC. Huu ni mwaka wa pili ambapo Kenya inaandaa mashindano hayo baada ya kujumuishwa katika msururu wa kimataifa mwaka jana na shirikisho la dunia la mbio za magari. Madereva zaidi ya thelathini wa kimataifa wako nchini kushiriki mashindano hayo ambayo yanaanza leo na kukamilika Jumapili ijayo katika eneo la Naivasha. Madereva hao watashiriki kitengo cha kwanza katika eneo la uwanja wa Kasarani kuanzia saa nane mchana. Dereva kutoka Finland Kalle Rovanpera ndiye anayeongoza jedwali baada ya kutwaa ushindi katika mashindano ya Sweden, Croatia na Ureno.
Rais Uhuru Kenyatta azindua mashindano ya Safari Rally
- 1 Jun 2025 - Regulator urges Parliament to pass Bill that will help tackle gambling addiction in the country.
- 1 Jun 2025 - Some 63 years later, the Kenyan nation is still under construction.
- 1 Jun 2025 - Parliamentary committee says Kenyans are disillusioned and many do not believe that their vote counts.
- 1 Jun 2025 - UN Women urges parents and teachers to adopt inclusive, age-appropriate conversations about gender roles and fairness.
- 1 Jun 2025 - President Donald Trump plans to withdraw his nomination of Jared Isaacman, a billionaire entrepreneur and close associate of Elon Musk’s, who was on track to be the next NASA administrator. Trump told associates he intended to yank Isaacman’s nomination…
- 1 Jun 2025 - Madaraka Day is a key day in the Kenyan calendar, which is annually celebrated on June 1 to commemorate the day in 1963 when the country attained internal self-rule from British colonial powers. This celebration symbolises the aspirations and sacrifices…
- 1 Jun 2025 - Torrential monsoon rains in India's northeast triggered landslides and floods that swept away and killed at least five people in Assam, disaster officials said Saturday.
- 1 Jun 2025 - Nintendo hopes to match the runaway success of the Switch when its levelled-up new console hits shelves Thursday, with strong early sales expected despite the gadget's high price. And success is crucial for Nintendo.
- 1 Jun 2025 - A short drive from the Fukushima nuclear disaster site, novice farmer Takuya Haraguchi tends to his kiwi saplings under the spring sunshine, bringing life back to a former no-go zone. He also met a veteran farmer, who moved away after the disaster and…
- 1 Jun 2025 - 100m Commonwealth Champion Ferdinand Omanyala has expressed optimism despite being stunned at the sixth Absa Kip Keino Classic Continental Tour gold series at the Ulinzi Sports Complex on Saturday, May 31, 2025. Africa’s fastest man finished third after…