Sheria za kimataifa za kulinda hospitali zinahusika vipi Gaza
Hospitali yoyote katika mzozo au vita hulindwa na sheria za vita - na haifai kulengwa katika mashambulizi.
Lakini katika hali fulani, hospitali zinaweza kupoteza hadhi ya kulindwa.
Israel inasema hii ndio imetokea katika hospitali kubwa ya Gaza, Al-Shifa.
Israel inasema hospitali hiyo inalinda silaha za kivita za Hamas - madai ambayo yamekanushwa na Hamas pamoja na hospitali hiyo.
Kwa hiyo sheria za kimataifa zinahusika vipi katika kesi kama hizi?
Elizabeth Kazibure na maelezo zaidi.
#bbcswahili #hamas #israel
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
15 May 2024
- The two countries have recently experienced mild tensions triggered by trade disagreements.
15 May 2024
- So far, Kenya has scrapped the entry requirements for approximately 8 African countries.
14 May 2024
- "The Red Cross Action Team is en route to the scene," Red Cross announced.
15 May 2024
- Nairobi Governor Johnson Sakaja has assured parents and learners that the city's Dishi na County school feeding program will not be affected by the national government's plan to do away with school feeding programmes
15 May 2024
- Data that cannot be referenced is not useful, says National Assembly Agriculture committee chairman
15 May 2024
- Senate had amended the Division of Revenue Bill, 2024 to increase allocation to Sh415 billion
15 May 2024
- Opposition side has tabled acts of omission and commission they believe are reason enough to send CS packing
15 May 2024
- We need to elect new leaders who can act on our behalf.
15 May 2024
- Welder says perhaps it was luck that kept him awake, saving him from a worse fate
15 May 2024
- The two countries have recently experienced mild tensions triggered by trade disagreements.
15 May 2024
- So far, Kenya has scrapped the entry requirements for approximately 8 African countries.
15 May 2024
- Justice Christine Meoli on Tuesday scheduled a hearing for the case on May 27, 2024.
15 May 2024
- Gikuru is an Advocate of the High Court of Kenya with over a decade of experience in law