Skip to main content
Skip to main content

Ndakwa atawania kiti cha eneo bunge la Malava kwa tikiti ya UDA

  • | Citizen TV
    1,130 views
    Duration: 1:27
    Mwenyekiti wa ODM Kaunti ya Kakamega, Gavana Fernandes Barasa, ametangaza kuwa Chama cha chungwa kitaunga mkono mgombea wa UDA, David Ndakwa, katika uchaguzi mdogo ujao wa ubunge wa Malava