- 1,655 views
Rais William Ruto ametangaza kuwa serikali itaanza kutekeleza mpango wa Afya kwa Wote kuanzia januari mosi mwakani, akisema kuwa vikao vya umma kuhusu kanuni za mpango huu vitaanza wiki ijayo. Rais William Ruto sasa akiagiza shirika la usambazaji dawa na huduma za matibabu KEMSA na lile la MEDS , kushirikiana katika kununua na kusambaza vifaa vya matibabu kote nchini kwa lengo la kupunguza gharama za huduma za afya. Rais alizungumza kaunti ya Machakos wakati wa kuzinduliwa rasmi kwa maabara ya kisasa. Maabara hiyo ni ya pili ya aina yake nchini na inatarajiwa kuimarisha utafiti wa kimaabara nchini
Rais Ruto asema mpango wa afya kwa wote utaanza Januari mwakani
- 21 May 2024 - Defense Secretary Lloyd Austin indicated that US forces have not changed their posture after the crash in the longtime adversary, where decisions are ultimately made by the supreme leader, Ayatollah Ali Khamenei.
- 21 May 2024 - A family in Siaya County is seeking help to retrieve the body of their kin who drowned in River Nzoia 17 days ago.
- 21 May 2024 - After seven days out of the public limelight, Gachagua resurfaced to see off President William Ruto on his departure to the United States.
- 21 May 2024 - Auditor General Nancy Gathungu has sounded a warning over the government's proposal to reduce the budget for flood mitigations by more than Ksh.3 billion.
- 21 May 2024 - According to Makadara Police Commander Judith Nyongesa, an unknown number of people were scavenging for scrap metals in the building, which was demolished three days ago, and could be trapped beneath the rubble.
- 21 May 2024 - Ten counties are most affected, with parents forced to travel long distances to neighboring counties to seek these services.
- 21 May 2024 - This visit, the first by an African leader in 15 years, is expected to strengthen ties between Kenya and the United States while opening doors to investment opportunities.
- 20 May 2024 - President William Ruto has began his tour of the United States of America in Atlanta Monday.
- 20 May 2024 - The Economic Survey of 2023 shows that there are more crimes reported across the country; it shows that 104,842 cases of crime were reported, representing an increase of 19 per cent.
- 20 May 2024 - Police arrest man for secretly burying daughter