'Hatuna mahali popote pa kulala'
Idadi ya watu waliokimbia makazi yao kutokana na mafuriko nchini Somalia imeongezeka hadi 100,000 katika kipindi cha wiki moja tu.
Mvua kubwa iliyonyesha mwezi Oktoba imesababisha vifo vya zaidi ya watu 100 katika eneo la Pembe ya Afrika.
Miji yote imeathirika, pia katika maeneo ya Kenya na Ethiopia.
Maeneo yaliyoathiriwa yalikuwa hayajapata auheni kutokana na ukame mbaya zaidi kuwahi kutokea eneo hilo katika miongo 4.
Huku mvua nyingi zikitabiriwa, watu wanatelekeza nyumba zao na kuhamia maeneo makavu huku serikali na mashirika ya misaada yakijaribu kuwafikia walioathirika.
#bbcswahili #ukame #ethiopia
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
15 May 2024
- The accident happened in the Sultan Hamud area, days after the same region witnessed the collision of 5 vehicles.
15 May 2024
- Speculation is rife that Nyoro is being prepped to be running mate in 2027.
15 May 2024
- The maize flour was listed to be toxic for human consumption after recent tests.
15 May 2024
- President William Ruto has asked the Kenya Defence Forces (KDF) to help the country tackle the climate change phenomenon.
15 May 2024
- Tana River Senator Danson Mungatana has criticised Deputy President Rigathi Gachagua over his comments on pushing for a ‘one-man-one-shilling’ county revenue-sharing formula.
15 May 2024
- The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has recovered several pieces of public land from grabbers within Eldoret town valued at Ksh.3.2 billion.
15 May 2024
- Wiper Leader Kalonzo Musyoka has urged MPs allied to the Azimio opposition coalition to reject the proposed Finance Bill 2024 when it is finally tabled in parliament, arguing that the proposed law is only meant to hurt Kenyans more.
15 May 2024
- The accident happened in the Sultan Hamud area, days after the same region witnessed the collision of 5 vehicles.
15 May 2024
- Speculation is rife that Nyoro is being prepped to be running mate in 2027.
15 May 2024
- It shall be at the same level as other Teaching and Referral hospitals.
15 May 2024
- Reading Time: 2 minutes President Wi*liam Ruto has asked the Kenya Defence Forces (KDF) to help the country tackle the climate change phenomenon. The […]
15 May 2024
- President William Ruto has defended the government’s plan to levy additional taxes on Kenyans, stating that it is part of a broader strategy to enhance the country’s revenue and reduce reliance on borrowing.
15 May 2024
- Reading Time: 2 minutes The Kenya National C*mmission on Human Rights (KNCHR) has asked the government to exp*dite the exercise of conducting DNA tests […]