- 42 views
Idara ya mahakama inapanga kuanzisha mahakama za zamu zitakazohudumu saa ishirini na nne kila siku ili kushughulikia kesi za dharura. Jaji mkuu martha koome amesema hayo wakati wa uzinduzi wa mwongozo wa miaka 10 wa mabadiliko ya kijamii kupitia upatikanaji wa haki. koome pia amesema kuna haja ya kuwezesha mhimili huo wa serikali zaidi ili kufanikisha baadhi ya majukumu yake yanayolemazwa na changamoto za kifedha. Hafla hiyo ya uzinduzi pia ilihudhuriwa na mkuu wa mawaziri musalia mudavadi ambaye amesisitiza haja ya kubuni sheria itakayosimamia mpito wa mamlaka baada ya uchaguzi
Idara ya mahakama yapanga kuanzisha mahakama za zamu zitakazohudumu saa ishirini na nne
- 2 Jun 2024 - It is a tragedy that many in public positions seem to care for their benefits, but not for the people.
- 2 Jun 2024 - The second Russia-Africa summit held in July 2023 was an important milestone.
- 2 Jun 2024 - Government and partners should promote positive environments to discourage radicalisation.
- 2 Jun 2024 - DP and his troops vigorously oppose parts of the Finance Bill as it stands.
- 2 Jun 2024 - President bets on agriculture to drive growth, blasts wastage
- 2 Jun 2024 - Pomp and colour as thousands attend Madaraka fete in Bungoma
- 2 Jun 2024 - DP Rigathi Gachagua delivered a speech of less than two minutes, a departure from his usually lengthy speeches.
- 2 Jun 2024 - It may look like an innocent green plant, but its name evokes something far closer to a robot or interstellar rocket. Protected from the elements, several thousand modified pothos plants, green speckled with white, awaited their turn to be potted, packed…
- 2 Jun 2024 - The world's biggest heavyweights in chipmaking and artificial intelligence will converge this week for Taiwan's premier tech expo, with Nvidia CEO Jensen Huang expected to get a rockstar reception at his keynote speech on Sunday.
- 2 Jun 2024 - Uganda has rolled out a nationwide yellow fever vaccination campaign to help safeguard its population against the mosquito-borne disease that has long posed a threat.