Skip to main content
Skip to main content

Rising starlets warudi nyumbani kujiandaa mechi ya Jumapili

  • | Citizen TV
    246 views
    Duration: 49s
    Timu ya taifa ya kandanda ya wanawake wa chini ya umri wa miaka 20 the rising starlets imerejea nchini baada ya kutoka sare ya 1-1 dhidi ya ethiopia katika mechi ya kufuzu kwa kombe la dunia iliyochezwa jijin Addis Ababa.