- 65 views
Baadhi ya wajenzi katika mtaa wa South B, kaunti ya Nairobi wameelezea wasiwasi wao kufuatia uamuzi wa mahakama kuu kwamba ushuru wa nyumba za gharama nafuu ni kinyume cha katiba. Wajenzi hao wanaofanya kazi chini ya mpango wa nyumba za bei nafuu, wameelezea wasiwasi kwamba huenda wakapoteza ajira wakati taifa likishuhuhudia gharama ya juu ya maisha na ukosefu wa ajira. Haya yanajiri huku wizara ya nyumba ikiwaonya waajiri dhidi ya kutowakata wafanyakazi wao ushuru huo na kuuwasilisha kwa KRA ikiashiria kuwa uamuzi wa korti uliahirisha utekelezaji wa maamuzi yake hadi Januari 10 mwaka ujao.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Ushuru Wa Nyumba: Wafanyakazi wa ujenzi wahofia kupoteza ajira
- - Thika | AREA CODE ››
- 18 May 2024 - EACC has recommended the prosecution of politician Cyrus Jirongo, FKF President Nick Mwendwa and former Sports PS Amb. Peter Kaberia.
- 18 May 2024 - Fico was gravely injured after being shot in the small town of Handlova on Wednesday
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - The suspects had been slaughtering 30 donkeys near River Sagana.
- 18 May 2024 - Detectives noted they were in the process of conducting investigations.
- 18 May 2024 - The MP asked Raila to heed to the cries of suffering Kenyans
- 18 May 2024 - The Catholic church has changed its rules on judging miracles as it seeks to avert scandals. The rules come into effect on Sunday, May 19.
- 18 May 2024 - Sports fans will find a lot of interesting things on the bookmaker's platform
- 18 May 2024 - Audit exposes rot in stalled Sh23m Siaya bus park project