Kifo cha Mwanasiasa Mkongwe Lawrence Sifuna Simiyu
Aliyekuwa mbunge wa bungoma kusini (sasa kanduyi) lawrence sifuna amefariki.
Sifuna ambaye pia aliwahi kuwa mbunge wa bumula alitangazwa kufariki akiwa na umri wa miaka 77.
Kwa mujibu wa familia mbunge huyo wa zamani aliugua ugonjwa wa kiharusi(stroke) siku chache zilizopita.
Lawrence sifuna alichaguliwa kwa mara ya kwanza kama mbunge mnamo novemba 8, 1979, katika eneo bunge la bungoma kusini wakati huo. Alikitetea tena kiti chake mnamo 1983 .
Alishindwa na aliyekuwa kamishna wa mkoa wa kaskazini mashariki maurice makhanu katika uchaguzi mkuu wa 1988 baada ya eneo bunge la bungoma kusini kubadilishwa jina na kuwa kanduyi.
Sifuna alitwaa tena kiti hicho wakati wa uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi wa 1992 kupitia tiketi ya ford asili.
18 Jun 2025
- Lawmakers have been urged to take immediate action to change some laws.
18 Jun 2025
- The CS made the announcement in the wake of a recent court ruling.
18 Jun 2025
- Previously, attacks by most aquatic animals did not guarantee compensation.
18 Jun 2025
- In response to a series of troubling police cases, Governor Wanga declared, "Enough is enough," as she mourned the death of Voi-based teacher and blogger Albert Ojwang.
18 Jun 2025
- The protests in Nairobi reportedly injured at least 17 people, including a hawker shot at close range by a police officer.
18 Jun 2025
- Inspector Christine Muthoni of Muthangari Police Station reported the incident early on Tuesday morning.
18 Jun 2025
- Lawmakers have been urged to take immediate action to change some laws.
18 Jun 2025
- The CS made the announcement in the wake of a recent court ruling.
18 Jun 2025
- The State Department for Medical Services Principal Secretary Dr. Ouma Oluga has called on county governments to embed HIV prevention strategies within their healthcare services, citing the urgent need to reduce rising infection rates among young people…
18 Jun 2025
- In a statement issued Wednesday morning, the Commission expressed deep concern about the violent crackdown on demonstrators demanding the resignation of Deputy Inspector General of Police Eliud Lagatt in the aftermath of the controversial death of…
18 Jun 2025
- Kenya’s commitment to expanding access to family planning services has received a significant boost, with a fresh consignment of contraceptives delivered through a partnership between the United Kingdom’s Foreign, Commonwealth & Development Office (…
18 Jun 2025
- “Let us not brandish our hands at them or bait them into reacting"
18 Jun 2025
- Roba’s resignation was communicated through a formal letter dated June 18, 2025, addressed to the County Assembly Clerk, citing “personal reasons” for his decision to step down effective June 17.