Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi kaskazini mwa Tanzania inazidi kuongezeka huku Zaidi ya watu 80 wakijeruhiwa vibaya kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika eneo la Manyara , Kwa mujibu wa serikali ya Tanzania.
Mafuriko makubwa yaliyosababishwa na El Nino yamesababisha vifo vya mamia ya watu nchini Kenya na Somalia na kuwalazimisha maelfu ya watu kuyahama makazi yao tangu mvua za msimu zilipoanza mwezi Oktoba.
Operesheni ya uokoaji inaendelea katika mkoa wa Manyara huku mamlaka ikihofia baadhi ya miili inaweza kunaswa kwenye matope, mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga aliwaambia waandishi wa habari Jumapili jioni.
Kupitia njia ya Video iliyowekwa mtandaoni wa wizara ya AFya , Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alituma salamu za rambirambi kwa familia zilizoathiriwa na kutoa idadi ya waliofariki na majeruhi ambao wanaendelea kupatiwa matibabu hospitalini huku wengine wakiruhusiwa kuondoka. Zaidi ya nyumba 100 zimeathiriwa na maporomoka hayo.
Mabadiliko ya hali ya hewa yamesababisha madhara makubwa ya hali ya hewa mara kwa mara, kulingana na wanasayansi wa hali ya hewa. - Reuters
#mafuriko #haliyahewa #vifo #Tanzania #mkoa #manyara #hanang #wilaya #voa #voaswahili
17 Aug 2025
- Ukraine's Volodymyr Zelenskiy flies to Washington on Monday under heavy U.S. pressure to agree a swift end to Russia's war in Ukraine but determined to defend Kyiv's interests - without sparking a second Oval Office bust up with Donald Trump.
17 Aug 2025
- Wiper Patriotic Front leader Kalonzo Musyoka has warned President William Ruto’s administration and potential investors against any attempts to sell or buy the Kenya Pipeline Company.
17 Aug 2025
- President William Ruto has gone full throttle in demanding the payment of music royalties in full, saying his administration is committed to supporting the music industry.
16 Aug 2025
- President William Ruto is scheduled to tour the United States next month for the 80th session of the United Nations General Assembly (UNGA) in New York, marking his first trip to the U.S. under President Donald Trump’s administration.
16 Aug 2025
- The killer Coptic roundabout in Mamboleo along Kisumu Kakamega highway has been dug out by unknown people last night following cases of road accidents in the area, with the latest claiming 27 lives, out of which 22 are set to be laid to rest today in…
16 Aug 2025
- The Democratic Republic of Congo (DRC) has raised objections over President William Ruto's nomination of a new Consul General to Goma, warning that such nominations require prior approval from Congolese authorities.