Afande Sele: Soko la muziki limekuwa rahisi, laini na limetanuka
Msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Selemani Msindi almaarufu kama Afande Sele amesema hawezi kurudi kwenye siasa tena kutokana na kile anachokiita kutokuwepo kwa ukweli.
@afandesele1976 alivuma na vibao kama Watu pori, Darubini kali na vingine vingi ambavyo vilimzolea umaarufu mkubwa hata kutwaa tuzo ya mfalme wa Rhymes jina ambalo limesalia kwake hadi hii leo.
Lakini siku za hivi karibuni amewekeza nguvu zake kwenye utoaji elimu ya utunzaji wa mazingira kupitia muziki, makongamano na hata bustani darasa nyumbani kwake aliyoipa jina la Pori la Simba
@eagansalla_gifted_sounds alimtembelea Mkoani Morogoro na kuandaa taarifa hii.
#bbcswahili #tanzania #morogoro
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
16 May 2024
- This happened at a time when Djibouti and Somalia have also put forward their own candidates.
16 May 2024
- Kenya Met also revealed places expected to experience sunny and dry weather.
16 May 2024
- All the Kenyan destinations chosen have unique features and are all owned by established players in the travel industry.
16 May 2024
- Kenya has received 450,000 doses of self-injectable contraceptives in a bid to simplify and enhance the accessibility of family planning among sexually active women.
16 May 2024
- Deputy President Rigathi Gachagua has defended his office’s proposed allocation in the 2024/2025 financial year.
16 May 2024
- Nairobi Woman Representative Esther Passaris has broken her silence on the controversial finance bill saying that she will still vote for it despite having some misgivings about some clauses in it.
16 May 2024
- National Assembly Majority Leader Kimani Ichung'wah has discredited Deputy President Rigathi Gachagua’s proposal of a ‘one-man-one-shilling’ county revenue-sharing formula.
16 May 2024
- Nairobi Senator Edwin Sifuna has told off National Assembly Speaker Moses Wetangula for blaming Members of Parliament who are criticizing the national budget proposals in public.
16 May 2024
- National Assembly Speaker Moses Wetangula has chastised Members of Parliament for politicizing the national budget making process, reminding them of their integral role in its formulation and passage.
16 May 2024
- Kennedy Ondiek, the United Democratic Alliance (UDA) Party co-ordinator for South Nyanza, has dismissed criticism against President William Ruto over his plan to raise the country’s average tax rate from the current 14 per cent to 22 per cent by the end…
16 May 2024
- He was received by President William Ruto
16 May 2024
- Emmanuel Gitu, 18, has been accepted to a total of 31 colleges.
16 May 2024
- The State has lined up four witnesses to testify against the accused