- 8,116 viewsDuration: 3:19Kijana wa miaka 18 aliyetoweka kwa zaidi ya siku Kumi katika Kijiji Cha mapenya kaunti ya Lamu apatikana ndani ya kisima akiwa amefariki. Mwili wa marehemu ulipatikana ukiwa bila macho, kwenye kisa kilichowaacha wakaazi na hofu.