Ukanda wa Gaza: Mapigano makali kati ya Israel na Hamas yaikumba miji mikubwa
Mapigano makali yameendelea hivi leo Alhamisi katika miji mikubwa huko Ukanda wa Gaza wakati majeshi ya Israel na wanamgambo wa Hamas wanapambana na raia wa Palestina wakitafuta makazi salama yaliyopo ili kujiepusha na vita.
Mapambano yalitokea huko Gaza City, sehemu za kaskazini ambako Israel imelilenga tangu kampeni yake ya awali ya kulitokomeza kundi la Hamas, pamoja na huko Khan Younis kusini mwa Gaza, sehemu ambayo imepanuliwa katika vita.
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu amesema majeshi ya Israel wanakaribia eneo la ambalo Mkuu wa Hamas huko Gaza, Yahya Sinwar yuko na kwamba ni suala la muda mpaka wampate.
Mapigano yamewasukuma raia mbali zaidi upande wa Kusini, na kuvuruga operesheni za kibinadamu za Umoja wa Mataifa na kuchochea kurejewa kwa maonyo ya kuongezeka kwa hali mbaya.
Umoja wa Mataifa umesema maelfu ya watu wamewasili katika siku za karibuni huko Rafah, eneo ambalo liko karibu na mpaka wa kusini mwa Gaza. Rafah ni eneo pekee huko Gaza ambalo limepokea misaada michache ya kibinadamu wiki hii kutokana na kusambaa kwa ghasia upande wa kaskazini, UN imesema.
Wakazi na waandishi wa habari wameripoti mashambulizi kadhaa ya anga ya Israel huko Rafah usiku kucha, huko wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas ikiripoti vifo 37. - VOA News
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #hospitali #Nasser #wagonjwa #madawa
16 Aug 2025
- The state agency also listed requirements for applications.
16 Aug 2025
- Some of the cars for sale are Toyota Wish, Corolla and Prado.
16 Aug 2025
- Police have launched an investigation into the incident.
16 Aug 2025
- President William Ruto is scheduled to tour the United States next month for the 80th session of the United Nations General Assembly (UNGA) in New York, marking his first trip to the U.S. under President Donald Trump’s administration.
16 Aug 2025
- The killer Coptic roundabout in Mamboleo along Kisumu Kakamega highway has been dug out by unknown people last night following cases of road accidents in the area, with the latest claiming 27 lives, out of which 22 are set to be laid to rest today in…
16 Aug 2025
- The Democratic Republic of Congo (DRC) has raised objections over President William Ruto's nomination of a new Consul General to Goma, warning that such nominations require prior approval from Congolese authorities.
16 Aug 2025
- Politics can be messy, even desperate. But to cross the line into the indignification of women — reducing them to objects for male amusement — is not desperation. It is degradation.
16 Aug 2025
- The last days of July and the early weeks of August have been marked by a wave of
16 Aug 2025
- Kenya Power has issued a notice of planned power outages affecting parts of Nairobi, Machakos, Nakuru, and Mombasa
16 Aug 2025
- He described the voting process as irregular and predetermined.
16 Aug 2025
- Ghana international Semenyo took to Instagram after the game to show more racist abuse he had received.
16 Aug 2025
- Kipyegon clocked a blistering 8:07.04, the second-fastest time ever recorded over the distance
16 Aug 2025
- Deputy President Kithure Kindiki has warned opposition leaders against any attempts to destabilize the country to gain power, declaring such acts to be dangerous and unacceptable.