Skip to main content
Skip to main content

Police FC wajiandaa kumenyana na Mogadishu FC Jumapili

  • | Citizen TV
    427 views
    Duration: 1:25
    Mabingwa wa ligi kuu ya kenya, police fc, wamerejea mazoezini kabla ya mechi ya mkondo wa marudiano ya raundi ya kwanza ya ligi ya mabingwa ya caf. Police wanaongoza kwa mabao 3-1 kutoka kwa mkondo wa kwanza uliochezwa katika uwanja wa taifa wa nyayo jumamosi iliyopita.