Skip to main content
Skip to main content

Magavana wapinga mfumo wa kidijitali wa malipo wakisema utaathiri utendakazi wao

  • | Citizen TV
    134 views
    Duration: 1:18
    Baraza la magavana limeendelea kupinga utoaji wa zabuni au kandarasi kupitia mfumo wa mtandao wakisema mfumo huo umeharakishwa na utaathiri utendakazi wa serikali za kaunti