Skip to main content
Skip to main content

Familia na wakazi katika kaunti ya Trans Nzoia wanadai majibu kuhusu kifo cha mwana wao aliyefariki

  • | Citizen TV
    269 views
    Duration: 2:08
    Familia na wakazi katika kaunti ya Trans Nzoia wanadai majibu baada ya kubainika kuwa kijana mmoja aliyekuwa akizuiliwa katika gereza la Kitale alifariki kutokana na damu kuganda.