- 2,411 viewsWaziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, Jumatatu (Desemba 25) Alikutana na wanajeshi huko Kaskazini mwa Gaza, ofisi yake ilieleza. NetanyaWhu alifuatana na Naibu Mkuu wa Majeshi Meja Jenerali Amir Baram aliongea na wanajeshi na makamanda na kuahidi kuendeleza na mapigano hadi mwisho, iliongeza. “Hatutasitisha vita. Yeyote anayezungumzia kusimamisha mapigano – hakuna kitu kama hicho. Hatutasitisha mapigano. Vita vitaendelea mpaka mwisho,” Netanyahu alisema. Hamas na wanamgambo wadogo washirika wa Islamic Jihad, wote wameapa kuiangamiza Israel, wanaaminika kuwashikilia zaidi ya mateka 100 miongoni mwa wale 240 waliowateka wakati wa shambulizi la Oktoba 7 katika miji ya Israeli, walipowauwa watu 1,200. Tangu wakati huo, Israel imelizingira eneo finyu la Ukanda wa Gaza na kuligeuza kifusi. Takriban watu 20,700 wameuawa na mashambulizi ya anga ya Israeli, ikiwemo 250 katika kipindi cha saa 24 zilizopita, kulingana na taarifa ya mamlaka huko Gaza inayotawaliwa na Hamas iliyotolewa Jumatatu. Maelfu ya watu wanaaminika kuwa wamefariki bado wako chini ya kifusi. - Kwa mujibu wa vyanzo vya habari mbalimbali #Rafah #Netanyahu #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #GadiEizenkot #wazirimkuu
Netanyahu akutana na wanajeshi na makamanda
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- 16 Aug 2025 - Wiper party leader Kalonzo Musyoka has accused President William Ruto of stifling the freedom of the Judiciary and right of citizens to political association in recent government crackdowns that target dissent.
- 16 Aug 2025 - President William Ruto has called on Harambee Stars fans to maintain discipline during the team's Sunday match against Zambia at the Kasarani Stadium in Nairobi.
- 16 Aug 2025 - The African Union has backed a campaign to end the use by governments and international organisations of the 16th-century Mercator map of the world in favour of one that more accurately displays Africa's size.
- 16 Aug 2025 - China urged Cambodia and Thailand to continue efforts towards restoring a lasting peace at their border as soon as possible, a Chinese foreign ministry statement said on Friday as it summarised an earlier trilateral meeting.
- 16 Aug 2025 - Mali's military-led government has arrested two generals and a French national, accusing them of participating in an alleged plot to destabilise the West African nation, according to a government statement and state-owned media.
- 16 Aug 2025 - Indonesia will launch a broader crackdown on the illegal exploitation of natural resources after a survey found that palm plantations on 3.7 million hectares (14,300 square miles) were operating in violation of the law, President Prabowo Subianto said…
- 16 Aug 2025 - U.S. President Donald Trump’s administration is discussing a refugee admissions cap of around 40,000 for the coming year with a majority allocated to white South Africans, according to two U.S. officials briefed on the matter and an internal refugee…
- 16 Aug 2025 - Government and civil service should have been doing this for 12 years. Now five people will recommend solutions based on Nadco’s imperfect proposals?
- 16 Aug 2025 - “A total of 1,100 registered groups from Nairobi submitted proposals for their empowerment programmes or projects, all approved, all funded, all received,” he stated in a post.
- 16 Aug 2025 - Enock Andanje collapsed and died on Friday while attending a widows’ empowerment event.