- 476 viewsTimu ya madaktari wa upasuaji wa kimataifa wametembelea hospitali yenye msongamano wa wagonjwa huko Khan Younis Jumanne (Desemba 26), wakati walipowasili Gaza kuwasaidia madaktari wa eneo kuendelea na upasuaji mgumu. Ujumbe huo, ambao unawawakilishi kutoka shirika la “Rahma Worldwide,” taasisi ya hisani isiyokuwa ya kibiashara ya Islamic yenye makao yake Marekani, inajumuisha wataalam sita wa upasuaji. Akram Adel Moushtahi, msemaji wa ujumbe wa “Rahma Worldwide’ unaotembelea European Hospital, alisema madaktari ulimwengu mzima wako tayari kuja katika eneo hili lililozingirwa kusaidia, hususan wale ambao wanaweza kufanya upasuaji, lakini wanataka waruhusiwe kuingia Gaza. Asilimia 20 tu ya hospitali huko Ukanda wa Gaza zinafanya kazi na zote zimeelemewa, alisema Mtaribu wa Timu ya Madaktari wa Dharura wa Shirika la Afya Duniani huko kusini mwa Gaza Jumanne. Jumla ya Wapalestina 21,110 wameuawa na wengine 55,243 wamejeruhiwa katika mashambulizi ya Israeli huko Gaza tangu Oktoba 7, wizara ya afya Gaza ilisema Jumatano. Idadi hiyo inajumuisha Wapalestina 195 waliouawa na 325 waliojeruhiwa katika kipindi cha saa 24, wizara hiyo imeongeza. - Reuters #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #GadiEizenkot #wazirimkuu
Mkurugenzi wa hospitali ya Gaza European akiwapokea madaktari bingwa kutoka Marekani
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- 16 Aug 2025 - Wiper party leader Kalonzo Musyoka has accused President William Ruto of stifling the freedom of the Judiciary and right of citizens to political association in recent government crackdowns that target dissent.
- 16 Aug 2025 - President William Ruto has called on Harambee Stars fans to maintain discipline during the team's Sunday match against Zambia at the Kasarani Stadium in Nairobi.
- 16 Aug 2025 - The African Union has backed a campaign to end the use by governments and international organisations of the 16th-century Mercator map of the world in favour of one that more accurately displays Africa's size.
- 16 Aug 2025 - China urged Cambodia and Thailand to continue efforts towards restoring a lasting peace at their border as soon as possible, a Chinese foreign ministry statement said on Friday as it summarised an earlier trilateral meeting.
- 16 Aug 2025 - Mali's military-led government has arrested two generals and a French national, accusing them of participating in an alleged plot to destabilise the West African nation, according to a government statement and state-owned media.
- 16 Aug 2025 - Indonesia will launch a broader crackdown on the illegal exploitation of natural resources after a survey found that palm plantations on 3.7 million hectares (14,300 square miles) were operating in violation of the law, President Prabowo Subianto said…
- 16 Aug 2025 - U.S. President Donald Trump’s administration is discussing a refugee admissions cap of around 40,000 for the coming year with a majority allocated to white South Africans, according to two U.S. officials briefed on the matter and an internal refugee…
- 16 Aug 2025 - Government and civil service should have been doing this for 12 years. Now five people will recommend solutions based on Nadco’s imperfect proposals?
- 16 Aug 2025 - “A total of 1,100 registered groups from Nairobi submitted proposals for their empowerment programmes or projects, all approved, all funded, all received,” he stated in a post.
- 16 Aug 2025 - Enock Andanje collapsed and died on Friday while attending a widows’ empowerment event.