Vifaru vya Israeli vikifanya mashambulizi karibu na mpaka wa Israel na Gaza
Mashambulizi ya Israeli yamepiga katikati ya Gaza Jumanne (Desemba 26) baada ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kuahidi kutositisha mashambulizi dhidi ya Hamas, huku wakazi wa pwani wakiomboleza vifo zaidi katika vita ambavyo vimeuwa zaidi ya Wapalestina 20,000.
Israel imedhamiria kuendelea mpaka ifikie lengo lake la kuiangamiza Hamas licha ya wito wa kimataifa kuwepo kwa kusitishwa mapigano katika wiki ya 11 ya vita hivyo, huku wasiwasi kuhusu mgogoro huu kuweza kuenea ukiyahusisha majeshi ya Marekani na Iran kushambuliana sehemu nyingine katika eneo hilo.
Tangu Hamas ilipofanya shambulizi la kinyama dhidi ya Israel katika historia ya miaka 75 ya nchi hiyo, Netanyahu amejibu shambulizi hilo kwa nguvu zote za kivita dhidi ya eneo la Gaza linalotawaliwa na Hamas.
Siku ya Jumanne, majeshi ya Israeli yalisema wanajeshi wake 160 hadi sasa wameuawa huko Gaza tangu operesheni ya kijeshi ya ardhini ilipoanza Oktoba 20. - Reuters
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #GadiEizenkot #wazirimkuu
16 Aug 2025
- Homicide detectives have planned exhumations.
16 Aug 2025
- The placement body urged the students to take the message seriously.
16 Aug 2025
- MCAs exchanged blows during Governor Mutai's impeachment proceedings.
16 Aug 2025
- Wiper party leader Kalonzo Musyoka has accused President William Ruto of stifling the freedom of the Judiciary and right of citizens to political association in recent government crackdowns that target dissent.
16 Aug 2025
- President William Ruto has called on Harambee Stars fans to maintain discipline during the team's Sunday match against Zambia at the Kasarani Stadium in Nairobi.
16 Aug 2025
- The African Union has backed a campaign to end the use by governments and international organisations of the 16th-century Mercator map of the world in favour of one that more accurately displays Africa's size.
16 Aug 2025
- China urged Cambodia and Thailand to continue efforts towards restoring a lasting peace at their border as soon as possible, a Chinese foreign ministry statement said on Friday as it summarised an earlier trilateral meeting.
16 Aug 2025
- Mali's military-led government has arrested two generals and a French national, accusing them of participating in an alleged plot to destabilise the West African nation, according to a government statement and state-owned media.
16 Aug 2025
- Indonesia will launch a broader crackdown on the illegal exploitation of natural resources after a survey found that palm plantations on 3.7 million hectares (14,300 square miles) were operating in violation of the law, President Prabowo Subianto said…
16 Aug 2025
- U.S. President Donald Trump’s administration is discussing a refugee admissions cap of around 40,000 for the coming year with a majority allocated to white South Africans, according to two U.S. officials briefed on the matter and an internal refugee…
16 Aug 2025
- Government and civil service should have been doing this for 12 years. Now five people will recommend solutions based on Nadco’s imperfect proposals?
16 Aug 2025
- “A total of 1,100 registered groups from Nairobi submitted proposals for their empowerment programmes or projects, all approved, all funded, all received,” he stated in a post.
16 Aug 2025
- Enock Andanje collapsed and died on Friday while attending a widows’ empowerment event.