Israel yaendeleza mashambulizi Gaza
Moshi mweusi ukitanda katika anga la Gaza Alhamisi (Disemba 28) mchana, kama inavyoonekana upande wa kusini mwa Israel, baada ya siku kadhaa za mashambulizi yasiyosita yaliyo walazimisha maelfu ya familia za Kipalestina zilizokuwa tayari hazina makazi kukimbilia katika hifadhi mpya.
Mamlaka za afya za Palestina zilisema watu 210 walithibitishwa kuuwawa katika mashambulizi ya Israel katika kipindi cha saa 24, na kufanya idadi ya vifo katika vita hivyo kufikia 21,320 – takriban asilimia moja ya idadi ya watu wanaoishi katika eneo hilo. Maelfu wengine zaidi waliokufa wanahofiwa kuwa wamezikwa au kupotea katika kifusi.
Israel ilipanua vita vya ardhini kwa nguvu zote kabla ya sikukuu ya Krismas licha ya kubembelezwa na mshirika wake wa karibu Marekani kupunguza kampeni hiyo ya mashambulizi katika wiki za kukaribia kumaliza mwaka.
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #GadiEizenkot #wazirimkuu
16 Aug 2025
- Homicide detectives have planned exhumations.
16 Aug 2025
- The placement body urged the students to take the message seriously.
16 Aug 2025
- MCAs exchanged blows during Governor Mutai's impeachment proceedings.
16 Aug 2025
- Wiper party leader Kalonzo Musyoka has accused President William Ruto of stifling the freedom of the Judiciary and right of citizens to political association in recent government crackdowns that target dissent.
16 Aug 2025
- President William Ruto has called on Harambee Stars fans to maintain discipline during the team's Sunday match against Zambia at the Kasarani Stadium in Nairobi.
16 Aug 2025
- The African Union has backed a campaign to end the use by governments and international organisations of the 16th-century Mercator map of the world in favour of one that more accurately displays Africa's size.
16 Aug 2025
- China urged Cambodia and Thailand to continue efforts towards restoring a lasting peace at their border as soon as possible, a Chinese foreign ministry statement said on Friday as it summarised an earlier trilateral meeting.
16 Aug 2025
- Mali's military-led government has arrested two generals and a French national, accusing them of participating in an alleged plot to destabilise the West African nation, according to a government statement and state-owned media.
16 Aug 2025
- Indonesia will launch a broader crackdown on the illegal exploitation of natural resources after a survey found that palm plantations on 3.7 million hectares (14,300 square miles) were operating in violation of the law, President Prabowo Subianto said…
16 Aug 2025
- U.S. President Donald Trump’s administration is discussing a refugee admissions cap of around 40,000 for the coming year with a majority allocated to white South Africans, according to two U.S. officials briefed on the matter and an internal refugee…
16 Aug 2025
- Government and civil service should have been doing this for 12 years. Now five people will recommend solutions based on Nadco’s imperfect proposals?
16 Aug 2025
- “A total of 1,100 registered groups from Nairobi submitted proposals for their empowerment programmes or projects, all approved, all funded, all received,” he stated in a post.
16 Aug 2025
- Enock Andanje collapsed and died on Friday while attending a widows’ empowerment event.