- 34 views
Majasusi wa kitengo cha uchunguzi wa mauaji cha idara ya upelelezi wamefunga makao rasmi ya gavana wa Meru Kawira Mwangaza katika mtaa wa Milimani mjini Meru wakiyataja kuwa eneo la uhalifu. Majasusi hao ni sehemu ya kundi linalochunguza mauaji ya mblogu Daniel Muthiani, al maarufu Sniper. Hattua hiyo inajiri takriban saa 24 baada ya gavana huyo kuvunja kimya chake kuhusiana na mauaji ya mwanaharakati huyo akisema kuwa idara ya ujasusi inafaa kuhitimisha swala hilo na kuwakamata wauaji wake. Na jinsi mwanahabari wetu Abdiaziz Hashim anavyotuarifu washukiwa watano wanaohusishwa na mauaji ya mblogu huyo wanazuiliwa na polisi huku msako dhidi ya washukiwa wengine wanaohusishwa na kifo chake ukiendelea.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Uchunguzi wa Mwanablogu wa Meru I Majasusi wa idara ya upelelezi wafunga makao ya gavana Mwangaza
- - Ringtone |The Trend ››
- 18 May 2024 - The Vatican on Friday tightened procedures for evaluating reported supernatural events such as weeping Madonnas and blood-dripping crucifixes that have for centuries whipped up the Catholic faithful.
- 18 May 2024 - The Ministry of Health has warned of possible outbreaks of waterborne diseases and other infections in schools following the recent floods experienced in most parts of the country.
- 18 May 2024 - Cases of bird flu have been confirmed among wild fowl in western China, the agriculture ministry said on Saturday, as concerns grow over a U.S. outbreak infecting cattle herds.
- 18 May 2024 - EACC has recommended the prosecution of politician Cyrus Jirongo, FKF President Nick Mwendwa and former Sports PS Amb. Peter Kaberia.
- 18 May 2024 - He said politics should go beyond regions and tribes
- 18 May 2024 - Several cases of cholera have been reported since the onset of floods
- 18 May 2024 - Admits that a number of their existing brigades were empty
- 18 May 2024 - Details of the investigations on the accused individuals were published in Kenya Gazette.
- 18 May 2024 - Day celebrates treaty which ensured world uses same measurement system
- 18 May 2024 - Mathare, Kamukunji, Kibra, Kabete, Langata, and Westlands prioritised due to their large populations.