- 66 views
Wanahabari kadhaa kutoka mashirika tofauti ya habari walijeruhiwa jana usiku, baada ya kuvamiwa na walinzi wa klabu wakati wa msako wa uvutaji Shisha unaoendelezwa na halmashauri ya kitaifa ya kukabiliana na uraibu wa pombe na mihadarati, NACADA katika eneo la burudani la Kettle House Bar and Grill mtaani Lavington Muthangari, kaunti ya Nairobi. Baadhi ya wale waliojeruhiwa ni pamoja na mpiga picha wa shirika la utangazaji KBC Jane Kibira na maafisa kadhaa wa polisi. Afisa wa halmashauri hiyo anayeongoza msako huo Nicholas Kosgei amelaani vikali kisa hicho, akisema kwamba hawatalegeza kamba katika vita vya kukabiliana na dawa za kulevya. Muungano wa wanahabari humu nchini umekashifu tukio hilo huku ukitaka wahusika kuchukuliwa hatua za kisheria.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wanahabari kadhaa wajeruhiwa wakati wa msako wa uvutaji shisha unaoendelezwa na NACADA
- - Thika | AREA CODE ››
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - The county has set two conditions for landowners who want to enjoy the waiver.
- 18 May 2024 - The MPs urged Kenyans to disregard claims of a rift in the ruling party.
- 18 May 2024 - At least 50 people are dead following a fresh bout of heavy rain and flooding in central Afghanistan, an official said on Saturday.
- 18 May 2024 - Some of the affected landowners include individuals as well as county offices.
- 18 May 2024 - NAIROBI, Kenya, May 18 — The death toll from a bus crash near Karen’s Hardy area has raised to nine after a survivor succumbed to injuries in hospital. National Police Service said it recorded eighteen injuries in hospitals after two people died at the…
- 18 May 2024 - Mr Kahiga said the DP deserved respect by virtue of his office.
- 18 May 2024 - Emase says the event is very deliberate in changing lives
- 18 May 2024 - Transport Principal Secretary Mohamed Daghar has lauded KPA’s initiatives which have seen the Port of Mombasa continue to record substantial annual increase in cargo throughput. Speaking Saturday at the KPA New Conference Room at a consultative meeting…