- 327 viewsMtoto wake, Hamza Al-Dahdouh, aliuawa katika shambulizi la anga lililofanywa na Israeli akiwa kwenye gari karibu na Rafah pamoja na Mustafa Thuraya, kulingana na maafisa wa afya na umoja wa waandishi wa habari huko Gaza. Wapalestina wote wawili walikuwa waandishi wa habari wa kujitegemea. Wa tatu alikuwa mwandishi wa kujitegemea ambaye alijeruhiwa. Al- Dahdouh alikuwa akifanya kazi na Al Jazeera, ambako baba yake ni mwandishi kiongozi huko Gaza. Wael Al-Dahdouh alikuja kuwa mashuhuri kwa watazamaji kote Mashariki ya Kati baada ya kufahamu wakati wa matangazo mubashara kuwa mke wake, mtoto wake mwengine wa kiume, binti yake na mjukuu wake wa kiume walikuwa wameuawa katika shambulizi la anga lililofanywa na Israeli. Majeshi ya Ulinzi ya Israel hayakutoa majibu mara moja walipotakiwa kutoa maelezo. Imekuwa ikipiga mabomu katika eneo la Palestina tangu uvamizi wa Hamas wa mashambulizi ya kuvuka mpaka ya Oktoba 7 ambapo maafisa wa Israeli wanasema watu 1,200 waliuwawa. Siku ya Jumapili (Januari 7), wizara ya afya ya Gaza ilisema shambulizi la Israel limeuwa Wapalestina 22,835 hadi sasa. Mzozo huu umekuwa ni maangamizi kwa waandishi. Kamati ya Kuwalinda Waandishi wa Habari, chombo cha kimataifa kinachofuatilia waandishi, kilisema Jumamosi, waandishi 77 na wafanyakazi wa vyombo vya habari waliuwawa, kati yao Wapalestina 70, Waisraeli wanne na Walebanon watatu. -Reuters #Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #GadiEizenkot #wazirimkuu #jerusalem #alaqsa #msikiti #ibada #ijumaa #gaza #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera
Mwandishi wa Al Jazeera Wael Al-Dahdouh akisalia jeneza la mwanafamilia mwengine
- - FEASSA games day 2 ››
- - Consumer trends ››
- - Co-op Bank results ››
- 16 Aug 2025 - US President Donald Trump and Russian counterpart Vladimir Putin will meet on Friday in Alaska in a high-risk summit that could prove decisive for the future of Ukraine.
- 16 Aug 2025 - The Nairobi Hospital has announced the suspension of its recent price adjustments following consultations with key insurance partners, who had initially withdrawn their services, leaving patients stranded.
- 16 Aug 2025 - Homicide detectives on Friday returned to Kwa Binzaro in preparation for the planned exhumation of eight graves that had been discovered late last month.
- 15 Aug 2025 - Kericho Governor Erick Mutai has been impeached. The embattled Governor was ousted after putting up a spirited defense throughout the day before the County Assembly.
- 15 Aug 2025 - A group of youth from Jacaranda in Embakasi who attended last Saturday’s State House empowerment event claim they never received the promised motorbikes and other items.
- 15 Aug 2025 - Nairobi Senator Edwin Sifuna has challenged President William Ruto to name those he accused of soliciting money from Cabinet Secretaries and Governors, citing that such remarks require proof.
- » Kajiado girls betrayed at birth: Minors face Obstetric Violence, sky-high bills and brutal neglect15 Aug 2025 - Kajiado is marked as one of the counties where maternal and sexual reproductive health violations and obstetric violence cases are rampant.
- 15 Aug 2025 - The DP on Friday graced Tiaty Economic Empowerment engagement at Chemolingot town in the constituency where he avowed the rolling out of key projects geared at improving the lives of the residents.
- 15 Aug 2025 - Charity Nyambura, recently single, does not do butterflies
- 15 Aug 2025 - Videos seen by the Star showed members physically restraining one another while others exchanged harsh words