- 550 viewsTangu kuanza kwa vita huko Gaza, Abdel Jaber Mohammed al-Farra alisema amepoteza vitu vingi – makazi yake, ujirani wake na shule yake. Farra na familia yake walikimbia makazi yao katikaujirani wa al-Manara upande wa mashariki ya Khan Younis baada ya majeshi ya Israeli kupiga bomu jengo. “Eneo tunaloishi liko salama, lina msikiti, ambako jina la Mungu linatukuzwa. Hakuna kitu, sote ni watu wa amani, hakuna kitu kibaya chochote katika ujirani wa al-Manara, ni salama na kimya, na eneo liko wazi,” alisema baba wa Abdel Jaber, Mohammed. Baada ya kushindwa kupata sehemu katika shule ambayo tayari imefurika watu waliokoseshwa makazi katika eneo, familia hiyo imekuwa ikiishi usiku kucha kila siku nje ya shule kwenye vibaraza. “Tuliweka vichwa vyetu chini na kujifunika na taulo, hadi asubuhi ilipoingia,” alisema Abdel Jaber. “Hali ni ya msiba mkubwa. Tunayaomba mataifa yote kututumia misaada, kufungua kivuko cha mpakani cha Rafah, ili kuleta misaada, na kumaliza vita. Malizeni hii dhulma dhidi yetu. Nyumba zetu zote zimepigwa mabomu,” alisema mtoto huyo wa miaka nane. Majeshi ya Ulinzi ya Israel yamekuwa yakipiga mabomu katika eneo la Palestina tangu uvamizi wa Hamas wa mashambulizi ya kuvuka mpaka ya Oktoba 7 ambapo maafisa wa Israeli wanasema watu 1,200 waliuwawa. Mashambulizi ya Israeli yameua zaidi ya Wapalestina 23,000, kuharibu sehemu kubwa ya Gaza na kuwakosesha makazi wengi angalau kati ya watu milioni 2.3, ikileta hali ya taharuki na mgogoro mbaya sana wa kibinadamu. - Reuters #Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera
Mtoto wa Kipalestina miaka nane aeleza madhila yanayo wakabili
- - FEASSA games day 2 ››
- - Consumer trends ››
- - Co-op Bank results ››
- 16 Aug 2025 - US President Donald Trump and Russian counterpart Vladimir Putin will meet on Friday in Alaska in a high-risk summit that could prove decisive for the future of Ukraine.
- 16 Aug 2025 - The Nairobi Hospital has announced the suspension of its recent price adjustments following consultations with key insurance partners, who had initially withdrawn their services, leaving patients stranded.
- 16 Aug 2025 - Homicide detectives on Friday returned to Kwa Binzaro in preparation for the planned exhumation of eight graves that had been discovered late last month.
- 15 Aug 2025 - Kericho Governor Erick Mutai has been impeached. The embattled Governor was ousted after putting up a spirited defense throughout the day before the County Assembly.
- 15 Aug 2025 - A group of youth from Jacaranda in Embakasi who attended last Saturday’s State House empowerment event claim they never received the promised motorbikes and other items.
- 15 Aug 2025 - Nairobi Senator Edwin Sifuna has challenged President William Ruto to name those he accused of soliciting money from Cabinet Secretaries and Governors, citing that such remarks require proof.
- » Kajiado girls betrayed at birth: Minors face Obstetric Violence, sky-high bills and brutal neglect15 Aug 2025 - Kajiado is marked as one of the counties where maternal and sexual reproductive health violations and obstetric violence cases are rampant.
- 15 Aug 2025 - The DP on Friday graced Tiaty Economic Empowerment engagement at Chemolingot town in the constituency where he avowed the rolling out of key projects geared at improving the lives of the residents.
- 15 Aug 2025 - Charity Nyambura, recently single, does not do butterflies
- 15 Aug 2025 - Videos seen by the Star showed members physically restraining one another while others exchanged harsh words