Wafanyakazi wa Shirika la Mwezi Mwekundu la Palestina wakiipakia miili
Shirika la Mwezi Mwekundu la Palestina Jumanne (Januari 9) liliiondoa miili miwili baada ya raia kushambuliwa kwa mabomu katika kambi ya wakimbizi ya Maghazi katikati mwa Gaza, lilieleza katika mtandao wa kijamii wa X.
Shirika hilo la kibinadamu lilitoa picha za video za wafanyakazi wake wakipakia miili miwili iliyokuwa katika sanda ndani ya gari la wagonjwa.
Shirika la habari la Reuters lilithibitisha tarehe na eneo ilipochukuliwa video hiyo na lilithibitishiwa na mwakilishi wa Mwezi Mwekundu Nebal Fersakh.
Jeshi la Isreali Jumatatu (Januari 8) lilisema limepiga mabomu eneo lililokuwa na silaha katikati ya Maghazi, na Jumanne lilisema ndege yake iliwashambulia wapiganaji wa Hamas katikati ya Gaza ilipo kambi ya wakimbizi.
Eneo la kusini na kati mwa Gaza limekuwa ndiyo linalolengwa na mashambulizi ya Israel, ambapo siku ya Jumamosi (Januari 6) ilitangaza miundombinu ya Hamas upande wa kaskazini imebomolewa.
Majeshi ya Ulinzi la Israel yamekuwa yakipiga mabomu katika eneo la Palestina tangu uvamizi wa Hamas wa mashambulizi ya kuvuka mpaka ya Oktoba 7 ambapo maafisa wa Israeli wanasema watu 1,200 waliuwawa.
Mashambulizi ya Israeli yameua zaidi ya Wapalestina 23,000, kuharibu sehemu kubwa ya Gaza na kuwakosesha makazi wengi angalau kati ya watu milioni 2.3, ikileta hali ya taharuki na mgogoro mbaya sana wa kibinadamu. - Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi
15 Aug 2025
- This is after over 31 MCAs voted for his ouster.
15 Aug 2025
- The lecturers were scheduled to down their tools beginning August 20, 2025.
15 Aug 2025
- Several Kenyans have in the past complained of downtime.
16 Aug 2025
- US President Donald Trump and Russian counterpart Vladimir Putin will meet on Friday in Alaska in a high-risk summit that could prove decisive for the future of Ukraine.
16 Aug 2025
- The Nairobi Hospital has announced the suspension of its recent price adjustments following consultations with key insurance partners, who had initially withdrawn their services, leaving patients stranded.
16 Aug 2025
- Homicide detectives on Friday returned to Kwa Binzaro in preparation for the planned exhumation of eight graves that had been discovered late last month.
15 Aug 2025
- Kericho Governor Erick Mutai has been impeached. The embattled Governor was ousted after putting up a spirited defense throughout the day before the County Assembly.
15 Aug 2025
- A group of youth from Jacaranda in Embakasi who attended last Saturday’s State House empowerment event claim they never received the promised motorbikes and other items.
15 Aug 2025
- Nairobi Senator Edwin Sifuna has challenged President William Ruto to name those he accused of soliciting money from Cabinet Secretaries and Governors, citing that such remarks require proof.
15 Aug 2025
- Kajiado is marked as one of the counties where maternal and sexual reproductive health violations and obstetric violence cases are rampant.
15 Aug 2025
- The DP on Friday graced Tiaty Economic Empowerment engagement at Chemolingot town in the constituency where he avowed the rolling out of key projects geared at improving the lives of the residents.
15 Aug 2025
- Charity Nyambura, recently single, does not do butterflies
15 Aug 2025
- Videos seen by the Star showed members physically restraining one another while others exchanged harsh words