- 834 views
Chama cha Wanasheria nchini LSK kiiliandaa maandamano katika matawi yake kote nchini, huku Mwenyekiti Eric Theuri akiapa kulinda uhuru wa idara ya Mahakama, dhidi ya vitisho na kuingiliwa na rais William Ruto. Aidha, wanachama wa LSK wakiwemo kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka na mwenzake kutoka chama cha DAP - K Eugene Wamalwa, wamekashifu Bunge kwa kuendeleza shughuli ya kukusanya maoni ya mswada wa ujenzi wa nyumba za bei nafuu licha ya shughuli hiyo kusimamishwa na mahakama.
Mawakili waandamana nchini wakitaka korti iheshimiwe
- - Duniani Leo ››
- 16 May 2024 - The Auditor General's report flags bursary cheques whose amounts were altered.
- 16 May 2024 - Girls from poor families miss 20 per cent of school days in a year due to a lack of sanitary towels.
- 16 May 2024 - To have any hope of victory, you have to start out very early, and campaign relentlessly for years.
- 16 May 2024 - Ramaphosa's opponents vow to challenge the new law in court and described it is a ploy for votes.
- 16 May 2024 - Downgrading Amboseli could expose it to increased human activity, posing a grave threat to its ecological integrity and tourism potential.
- 16 May 2024 - Having routine targets, year in year out, derails the organisation’s success in the long run.
- 16 May 2024 - Junior Secondary School teachers say they will obey court orders by staying home.
- 16 May 2024 - Margaret says she is unable to get medical care since she does not have her papers.
- 16 May 2024 - In the right to speech we are reminded that we must tolerate the views of the people or groups we dislike the most.
- 16 May 2024 - Senator Mungatana criticises DP, says the formula will further deprive marginalised communities.