Maporomoko ya udongo Hanang: Mwezi mmoja baada ya tukio hilo
"Yalisomba friji, viti vya ofisi yangu"
-
Happiness Malisa ni miongoni mwa wafanyabiashara walioshuhudia tukio zima la maporomoko ya udongo na mafuriko yaliyotokea katika wilaya ya Hanang mkoa wa Manyara nchini Tanzania mwanzoni mwa mwezi disemba mwaka 2023.
-
Anasema kuwa alishuhudia miili ya watu ikielea huku baadhi ya watu hao wakiwa ni ndugu na jamaa wa karibu.
-
Happiness anasema kwa sasa bado wana hofu licha ya miundo mbinu mizuri iliyowekwa na serikali na wanatamani kupata majibu kuhusu nini hasa kilitokea
-
Akiwa mjini Hanang Mwandishi wa BBC Eagan Salla alifanya mahojiano haya.
-
-
-
#bbcswahili #tanzania #hanag
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
18 Aug 2025
- Hundreds of students have decried the uncertainty surrounding their university school fees.
18 Aug 2025
- The project is expected to take 24 months.
18 Aug 2025
- Nairobi is among the regions flagged to experience moderate to heavy rainfall by the weatherman.
18 Aug 2025
- In a statement issued on Monday, Prime Cabinet Secretary and Foreign Affairs Cabinet Secretary Musalia Mudavadi stated that President William Ruto's recent redeployment of Ambassadors, High Commissioners, Consul-Generals, and Deputy Heads of Mission to…
18 Aug 2025
- According to a statement from State House Spokesperson Hussein Mohamed, Japan’s longstanding partnership with Kenya has grown to more than KSh600 billion, making Kenya the leading recipient of Japanese support in Africa.
18 Aug 2025
- Hundreds of students have decried the uncertainty surrounding their university school fees.
18 Aug 2025
- The DP stated that the bipartisanship shown by the two major parties since striking a deal to work together has steadied the nation enabling it to focus on service delivery and national development.
18 Aug 2025
- Kenya Kwanza and Orange Democratic Movement (ODM) lawmakers on Monday resolved to work together in Parliament under a bipartisan framework, pledging to prioritise national unity and implementation of a joint 10-point agenda.
18 Aug 2025
- Cyrus Rono reacted after finding Moody Awori in his house.
18 Aug 2025
- The project is expected to take 24 months.
18 Aug 2025
- The Wasafi family feud has taken a dramatic turn after Diamond Platnumz hit back at his former signee,
18 Aug 2025
- “As the lead agency in the fight against alcohol and drug abuse, NACADA will play a central role in this campaign.”
18 Aug 2025
- President William Ruto has honoured his promise of Ksh2.5 million in cash rewards for Harambee Stars players following