Skip to main content
Skip to main content

Upasuaji wa miili Kwa Binzaro waingia siku ya pili

  • | Citizen TV
    513 views
    Duration: 1:48
    Shughuli ya upasuaji wa miili na viungo vilivyopatikana katika msitu wa kwa binzaro kaunti ya kilifi imeingia siku yake ya pili. Miili tisa kufikia sasa imefanyiwa upasuaji. Kwa mujibu wa mpasuaji mkuu wa serikali johansen oduor, mwili mmoja umebainika kuwa na majeraha kichwani.