Skip to main content
Skip to main content

Naibu Rais na viongozi wa Isiolo wasisitiza amani

  • | Citizen TV
    491 views
    Duration: 1:25
    Naibu rais Kithure Kindiki amewataka viongozi wa kaskazini mashariki kudumisha amani ili kufanikisha maendeleo eneo hilo. Akizungumza eneo la Irunduki kaunti ya Tharaka Nithi baada ya kukutana na zaidi ya wakaazi 1,500 kutoka kaunti ya Isiolo, Kindiki aliwataka wakaazi hawa kutangamana vyema ili kuhakikisha wanafikiwa na maendeleo kikamilifu. Aidha ameendelea kutoa hakikisho ya mikakati ya serikali kuhakikisha miundo msingi zaidi na maendeleo yanawafikia.