Skip to main content
Skip to main content

Kenya yalazwa na Cuba, yailaza Korea Kusini kwenye baseball ya chipukizi

  • | Citizen TV
    272 views
    Duration: 57s
    Timu ya taifa ya baseball kwa wachezaji watano chipukizi imeanza michuano ya kombe la dunia kwa matokeo mchanganyiko huko Nayarit nchini Mexico.