Skip to main content
Skip to main content

Chama cha ODM chatimiza miaka 20 tangu kuasisiwa

  • | Citizen TV
    2,275 views
    Duration: 2:54
    Malefu ya wafuasi wa chama cha ODM wameanza kumiminika katika uga wa Gusii mapema leo kuadhimisha miaka 20 ya chama hicho cha Chungwa ukanda wa Nyanza na Magharibi mwa Kenya. Kiongozi wa Chama hicho Raila Odinga anatarajiwa kuongoza hafla hiyo mjini Kisii.