Wanajeshi wa Israel wafariki Ukanda wa Gaza
Israel Jumanne imeripoti vifo vya wanajeshi wake 24 huko Ukanda wa Gaza, moja kati ya siku mbaya sana kwa jeshi la Israeli tangu kuanza kwa kampeni ya kuwatokomeza wanamgambo wa kikundi cha Hamas.
Msemaji wa jeshi la Israeli Rear Admiral Daniel Hagari amewaambia waandishi wanajeshi 21 walikuwa wanajiandaa kubomoa majengo mawili kwa kutumia vilipuzi Jumatatu wakati mwanamgambo mmoja alifyatua roketi kuelekea katika kifaru kilicho kuwa karibu na vilipuzi vilivyokuwa katika majengo vililipuka, na majengo yakawaangukia wanajeshi wa Israeli. Wanajeshi watatu wengine walifariki katika shambulizi jingine.
Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu alisema jeshi limeanzisha uchunguzi kufuatia janga hilo.
“Jana tulipitia moja kati ya siku zetu ngumu tangu kuanza kwa vita hivyo,” Netanyahu alisema. “Kwa majina ya mashujaa wetu, kwa sababu ya maisha yetu, hatutaacha kupigana mpaka ushindi kamili upatikane.”
Baadhi ya taarifa hizi zinatokana na mashirika ya habari ya AP, AFP na Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #khanyounis
13 Aug 2025
- Wamuchomba took a tough stance while grilling CS Murkomen, resulting in dramatic scenes in Parliament.
13 Aug 2025
- The DP made the announcement at his home in Irunduni.
13 Aug 2025
- The judge ruled on the matter on Wednesday.
14 Aug 2025
- At least 22 migrants died after two boats overturned in the Mediterranean on Wednesday, with more still missing and some 60 survivors, humanitarian agencies said.
14 Aug 2025
- The summit between US President Donald Trump and his Russian counterpart Vladimir Putin will be held at Joint Base Elmendorf-Richardson in Alaska, a White House official said Wednesday.
14 Aug 2025
- South Africa's unemployment rate rose for the second quarter in a row, official data showed on Tuesday, highlighting one of the biggest challenges faced by the country's year-old coalition government.
14 Aug 2025
- Only Ukrainian President Volodymyr Zelensky can negotiate a land deal with Russia in an effort to end Moscow's war against his country, French President Emmanuel Macron said on Wednesday.
14 Aug 2025
- Workers at the Kenya Pipeline Company (KPC) are demanding job security assurances as the government moves to sell a majority stake in the State corporation.
14 Aug 2025
- "Parliament must be called out. Something is going on in our Legislature that we must address. Money is being demanded from the Executive, governors, and ministers—especially those who appear before parliamentary committees for accountability,” said…
14 Aug 2025
- The Kenya National Commission on Human Rights (KNCHR) wants victims of protests and demonstrations to receive more than just monetary compensation.
14 Aug 2025
- Master of double speak: Ruto masks flaws, turns heat on MPs over corruption
14 Aug 2025
- Accountant wins Sh424.6M SportPesa Jackpot, plans to dig borehole for family
14 Aug 2025
- Firms behind Nairobi-Mombasa Expressway deny project has been abandoned