Maandamano ya Chadema yafanyika, wananchi wajitokeza
Idadi kubwa ya Watanzania wamejitokeza na kuunga mkono maandamano ya amani yaliyoandaliwa na chama kikuu cha upinzani Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) yaliyofanyika Jumatano.
Maandamano hayo yaliyoanzia jijini Dar-es Salaam, na kuendelea katika miji mingine yanapinga kupanda kwa gharama za maisha na kudai kusikilizwa kwa maoni ya wananchi na wadau wa demokrasia katika masuala ya sheria ya uchaguzi.
Waongozi wa maandamano hayo walifikisha ujumbe wao katika ofisi za Umoja wa Mataifa, unaoitaka serikali ya Tanzania kushughulikia changamoto za kupanda kwa gharama za maisha zinazowakabili wananchi pamoja na mageuzi ya katiba.
Mratibu wa mtandao wa vuguvugu la katiba, Buberwa Kaiza amesema sababu ya maandamano hayo kuishia katika ofisi za Umoja wa Mataifa ni kutoa ujumbe duniani kupitia umoja huo kuwa miswaada ya sheria ya uchaguzi iondolewe bungeni.
“Sababu kubwa ya kuja hapa Umoja wa Mataifa ni kutoa ujumbe duniani kote kupitia umoja huu kwamba madai haya ya sheria hizi ziondolewe bungeni yapate nguvu yaweze kusikilizwa kwa namna ambavyo inatarajiwa,” Kaiza.
#chadema #upinzani #maandamano #wananchi #daressalaam #tanzania #voa #voaswahili
13 Aug 2025
- Wamuchomba took a tough stance while grilling CS Murkomen, resulting in dramatic scenes in Parliament.
13 Aug 2025
- The DP made the announcement at his home in Irunduni.
13 Aug 2025
- The judge ruled on the matter on Wednesday.
14 Aug 2025
- At least 22 migrants died after two boats overturned in the Mediterranean on Wednesday, with more still missing and some 60 survivors, humanitarian agencies said.
14 Aug 2025
- The summit between US President Donald Trump and his Russian counterpart Vladimir Putin will be held at Joint Base Elmendorf-Richardson in Alaska, a White House official said Wednesday.
14 Aug 2025
- South Africa's unemployment rate rose for the second quarter in a row, official data showed on Tuesday, highlighting one of the biggest challenges faced by the country's year-old coalition government.
14 Aug 2025
- Only Ukrainian President Volodymyr Zelensky can negotiate a land deal with Russia in an effort to end Moscow's war against his country, French President Emmanuel Macron said on Wednesday.
14 Aug 2025
- Workers at the Kenya Pipeline Company (KPC) are demanding job security assurances as the government moves to sell a majority stake in the State corporation.
14 Aug 2025
- "Parliament must be called out. Something is going on in our Legislature that we must address. Money is being demanded from the Executive, governors, and ministers—especially those who appear before parliamentary committees for accountability,” said…
14 Aug 2025
- The Kenya National Commission on Human Rights (KNCHR) wants victims of protests and demonstrations to receive more than just monetary compensation.
14 Aug 2025
- Master of double speak: Ruto masks flaws, turns heat on MPs over corruption
14 Aug 2025
- Accountant wins Sh424.6M SportPesa Jackpot, plans to dig borehole for family
14 Aug 2025
- Firms behind Nairobi-Mombasa Expressway deny project has been abandoned