Wakulima wenye hasira wawasha moto kupinga mpango wa serikali kupunguza ruzuku
Wakulima wenye hasira walichoma matairi na uchafu Ijumaa (Januari 26) pembeni ya barabara kuu ya A20, wakipinga mpango wa serikali kupunguza pole pole ruzuku ya diesel inayotumika katika kilimo.
Kanda ya video ya aliyeshuhudia tukio hilo pia ilionyesha uchafu ukitupwa nje ya ofisi ya serikali katika mji wa Montauban.
Serikali ya Ufaransa baadae ilitangaza itasitisha mipango ya kuondoa ruzuku kwa ajili ya mafuta ya diesel lakini hilo halijatosha kuwaridhisha wakulima ambao wametishia kukusanyika katika mji mkuu Paris na matrekta yao.
Wakulima wa Ufaransa wanaishutumu serikali kwa kutochukua hatua za kutosha kuwasaidia, ushindani usiolingana kati ya nchi jirani, na viwango vya kilimo kandamizi ambavyo ni gharama kubwa kuvifuata.
Siku ya Ijumaa, kiongozi wa jumuiya kubwa kabisa ya wakulima Ufaransa –the FNSEA- alisema anatoa wito kwa wanachama wote kuendelea na harakati za kupinga mpango wa kupunguzwa ruzuku, hata baada ya serikali kusema ilikuwa na mpango wa kuboresha hali ya maisha na mazingira ya kazi ya wakulima. - Reuters.
#wakulima #Ufaransa #diesel #ruzuku #serikali #thibaultizoret #paris #montauban #voa #voaswahili
13 Aug 2025
- Wamuchomba took a tough stance while grilling CS Murkomen, resulting in dramatic scenes in Parliament.
13 Aug 2025
- The DP made the announcement at his home in Irunduni.
13 Aug 2025
- The judge ruled on the matter on Wednesday.
14 Aug 2025
- At least 22 migrants died after two boats overturned in the Mediterranean on Wednesday, with more still missing and some 60 survivors, humanitarian agencies said.
14 Aug 2025
- The summit between US President Donald Trump and his Russian counterpart Vladimir Putin will be held at Joint Base Elmendorf-Richardson in Alaska, a White House official said Wednesday.
14 Aug 2025
- South Africa's unemployment rate rose for the second quarter in a row, official data showed on Tuesday, highlighting one of the biggest challenges faced by the country's year-old coalition government.
14 Aug 2025
- Only Ukrainian President Volodymyr Zelensky can negotiate a land deal with Russia in an effort to end Moscow's war against his country, French President Emmanuel Macron said on Wednesday.
14 Aug 2025
- Workers at the Kenya Pipeline Company (KPC) are demanding job security assurances as the government moves to sell a majority stake in the State corporation.
14 Aug 2025
- "Parliament must be called out. Something is going on in our Legislature that we must address. Money is being demanded from the Executive, governors, and ministers—especially those who appear before parliamentary committees for accountability,” said…
14 Aug 2025
- The Kenya National Commission on Human Rights (KNCHR) wants victims of protests and demonstrations to receive more than just monetary compensation.
14 Aug 2025
- Master of double speak: Ruto masks flaws, turns heat on MPs over corruption
14 Aug 2025
- Accountant wins Sh424.6M SportPesa Jackpot, plans to dig borehole for family
14 Aug 2025
- Firms behind Nairobi-Mombasa Expressway deny project has been abandoned