Hamas watoa kanda ya video walioihariri ikidai kumekuwa na mapigano mitaani
Kitengo cha kijeshi cha kikundi cha wanamgambo wa Palestina Hamas kimetoa Jumatatu (Januari 29) video iliyohaririwa inayoonyesha mapigano katika mitaa ya Khan Younis huko Gaza.
Kanda hiyo inawaonyesha wapiganaji wakiwa wamebeba mifumo ya kubebea silaha begani na kufyatua dhidi ya vifaru vya kivita. Reuters haikuweza yenyewe kuthibitisha eneo au tarehe ambayo video hiyo ilichukuliwa.
Mapema Jumatatu, jeshi la Israeli lilisema wanajeshi wake waliwaua darzeni ya Wapalestina wenye silaha kote Ukanda wa Gaza ndani ya saa 24 zilizopita, wakiwemo wanne waliokuwa wameonekana wakijiandaa kuwashambulia wanajeshi waliokuwa karibu na hospitali ya Al- Amal huko kusini mwa Khan Younis.
Kitengo cha kijeshi cha Hamas na kikundi cha Islamic Jihad vilisema wapiganaji wake walipambana na wanajeshi wa Israeli katika maeneo kadhaa katika eneo finyu usiku kucha. Kitengo cha kijeshi cha Hamas kilisema wapiganaji wake wameangamiza vifaru viwili vya Israeli huko Khan Younis.
Shambulizi lililofanywa na Hamas Oktoba 7 kwa kuvuka Gaza na kuingia kusini mwa Israel lilisababisha vita na waliwauwa kiasi cha watu 1,200.
Maafisa wa afya wa Palestina walisema watu wasiopungua 26,000 wakazi wa Gaza wameuawa katika vita hivyo. - Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #khanyounis
30 Jun 2025
- Amin provided an update on investigations on Monday, June 30.
30 Jun 2025
- The activist has been missing for 10 days.
30 Jun 2025
- He has been in the ICU for almost two weeks.
30 Jun 2025
- His death was confirmed on Monday by family spokesperson Emily Wanjira, just a day after doctors at Kenyatta National Hospital (KNH) declared him brain dead.
30 Jun 2025
- Deputy President Kithure Kindiki alongside the Speaker of the National Assembly Moses Wetangula hosted a delegation of Huawei Kenya officials led by the CEO Gao Fei as they sought to collaborate in Kenya’s push for technological advancement.
30 Jun 2025
- The wife of former Kenyan 3,000-metre world record holder Daniel Komen has told an Eldoret High Court how her husband sold their matrimonial property estimated to be worth over Ksh. 100 million to fellow athletes without her consent.
30 Jun 2025
- The High Court has temporarily suspended the implementation of the Kenya Revenue Authority’s (KRA) updated Current Retail Selling Price (CRSP) schedule for used motor vehicles, pending hearing and determination of a case.
30 Jun 2025
- Women decided to no longer be victims of bad policies. Mobilisation was done on X hashtags, Titok reels, WhatsApp statuses, Facebook posts and Instagram stories, reels and lives.
30 Jun 2025
- A Nairobi-based advocate has filed a formal motion seeking the removal of Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen and Deputy President Kithure Kindiki from the Roll of Advocates, citing their alleged role in state violence during the June 25…
30 Jun 2025
- Director of Criminal Investigations (DCI) Mohammed Amin on June 30, 2025, addressed the media regarding the recent “Gen Z anniversary protests” across Kenya. The demonstrations, held to mark one year since widespread anti-tax protests, were described by…
30 Jun 2025
- Boniface Kariuki, the hawker who was shot by police in the head in Nairobi during protests on June 17, 2025, is dead, the family has said. More to follow...
30 Jun 2025
- President William Ruto has called on United Nations members to support the outcome document of the Fourth International Conference on Financing for Development being held in Seville, Spain.
30 Jun 2025
- Amin provided an update on investigations on Monday, June 30.