- 45 views
Maafisa wa polisi katika eneo la Kiambaa kaunti ya Kiambu, wanamzuilia mshukiwa mmoja anayedauwa kumuua mtoto wa miaka minane. Akithibitisha kisa hicho, Kamanda wa polisi eneo la Kiambaa, Pius Mwanthi alisema jaribio la mshukiwa huyo la kutoroka liligonga mwamba pale alipoanguka kwenye shimo karibu na karibu na nyumba alikotekeleza mauaji hao na kuokolewa na maafisa wa polisi kwa ushirikiano na wazimamoto. Mwanthi alisema mshukiwa huyo alijaribu kumuua mamake mtoto huyo lakini hakufaulu baada ya mama huyo kutoroka. Wakaazi wa eneo hilo wamelaani kitendo hicho wakitaka mshukiwa achukuliwe hatua kali za sheria.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mwanamume amuua msichana eneo la Kiambaa
- - Duniani Leo ››
- 17 May 2024 - As women increasingly assert their presence behind the camera, data reveals they now make up 40 per cent of those directly employed in Kenya’s film industry.
- 17 May 2024 - China's Xi Jinping and Russia's Vladimir Putin on Thursday pledged a "new era" of partnership between the two most powerful rivals of the United States which they cast as an aggressive Cold War hegemon that was sowing chaos across the world.
- 17 May 2024 - Four universities get zero allocation for their thousands of students.
- 17 May 2024 - Women to benefit from 450,000 doses of self-injectable contraceptives
- 17 May 2024 - Apart from Kenya, Somalia and Djibouti also have candidates for the seat.
- 17 May 2024 - Strathmore moots agric-data hub to boost small-scale producers
- 17 May 2024 - Judges lock horns over JSC representative position as Justice Majanja exits
- 17 May 2024 - CA says internet disruption to continue on huge backlog
- 17 May 2024 - Residents petition Sakaja over illegal development in Nairobi
- 17 May 2024 - Only accredited delegates will attend Limuru III