Israel yaangamiza malengo ya Hamas, vita vyaendelea
Jeshi la Israeli limetoa kanda ya video Alhamisi ikionyesha kile inachosema ilikuwa ni mashambulizi dhidi ya malengo ya Hamas huko Ukanda wa Gaza, wakati vita hiyo ikiendelea.
Jeshi hilo lilisema mashambulizi hayo yalilenga mahandaki, mifumo ya kurushia roketi na “miundombinu” mengine isiyofafanuliwa.
Mashambulizi ya angani na ardhini yanayofanywa na Israel yameuwa watu karibu 27,000 na kujeruhi zaidi ya wengine 65,000 katika eneo finyu la Gaza.
Mashambulizi haya yalianza Oktoba 7 kufuatia mauaji ya Oktoba 7 huko kusini mwa Israel, yaliofanywa na wanamgambo kutoka Gaza waliouwa takriban watu 1,200 na kuwateka watu 250. - AP
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #iran #republikanguard
2 Jul 2025
- All affected drivers must register individually for the training.
2 Jul 2025
- Last month, Mbadi said the government will borrow over Ksh900 billion to finance the Ksh4.2 trillion budget.
2 Jul 2025
- As of April, 140,000 affordable housing units were completed across different counties in the country.
3 Jul 2025
- President Donald Trump announced Wednesday that he had struck a trade deal with Vietnam under which the country would face a minimum 20 percent tariff and open its market to US products.
3 Jul 2025
- In June 2025, China removed all tariffs on exports from 53 African countries. This is a transformative opportunity for African economies to expand their export base, create jobs and integrate more meaningfully into the global economy. It is also a strong…
3 Jul 2025
- One of those affected had to delete posts deemed offensive
3 Jul 2025
- MPs' attempt to entrench it in law after courts faulted it deemed 'exercise in futility'
3 Jul 2025
- State says move will make it convenient for witnesses most of whom stay in the lakeside city
3 Jul 2025
- His mother, Eucabeth Ojwang, emotionally recalled the last moments she saw her son alive.
3 Jul 2025
- He vowed to fight graft and restore stability and denied being Uhuru’s project
3 Jul 2025
- A bipartisan peace committee has been created to oversee equitable access to shared resources, mediate disputes, and provide proactive, homegrown solutions before disagreements escalate into violence between the Gabra and Dasanaach communities of…
3 Jul 2025
- A campaign of planting bamboos and fruit trees is bearing fruit
3 Jul 2025
- A family in Kandara, Murang’a county, is demanding justice for their son, who was shot by the police in Juja during the demonstrations last week. Ian Muhindi is said to have been shot by the police at the top of a nine-storey building where he was…