- 35 views
Idadi ya waliofariki baada ya kubugia pombe haramu katika kaunti ya Kirinyaga imefikia watu 10 baada ya watu wengine wanne kufariki katika hospitali ya matibabu maalum ya Kerugoya. Waathiriwa wengine kadhaa wanaendelea kupokea matibabu huku kundi la madkatari likijitahidi kunusuru waathiriwa ambao wamo kwenye hatari ya kufariki au kupoteza uwezo wa kuona. Sasa imebainika kuwa mmiliki wa baa ambako watu hao walibugia pombe ni muuzaji sugu wa pombe haramu na amekamatwa akisubiri kufikishwa mahakamani mara ya kumi na tano.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Idadi ya waliofariki kutokana na unywaji pombe haramu kaunti ya Kirinyaga yaongezeka hadi watu-10
- 3 Jul 2025 - Public Service Cabinet Secretary Geoffrey Ruku says many government workers in Kenya are underpaid, citing limited revenue and a stretched wage bill as key obstacles to improving their compensation.
- 3 Jul 2025 - A 50-year-old man was burned to death in the Sungubo area, Kisii County, after killing his wife.
- 3 Jul 2025 - A 50-year-old man was burned to death in the Sungubo area, Kisii County, after killing his wife.
- 3 Jul 2025 - With South Sudan's President Salva Kiir undergoing medical tests abroad after years of rumours about his health, analysts say a long-gestating plan has been set in motion to secure his succession.
- 3 Jul 2025 - The house was constructed on the family's land in Kokwanyo village in Kabondo Kasipul.
- 3 Jul 2025 - Nairobi collects the highest revenue among the 47 counties.
- 3 Jul 2025 - U.S. President Donald Trump will host leaders from five African nations in Washington next week to discuss "commercial opportunities," a White House official said on Wednesday.
- 3 Jul 2025 - Liverpool star Diogo Jota has died following a car crash in northern Spain at the age of 28.
- 3 Jul 2025 - Mwengi Mutuse was the mover of the motion that led to Rigathi Gachagua's impeachment.
- 3 Jul 2025 - Matiang'i says he's ready for State House battle, party still a mystery