Ivory Coast Yaibuka Kidedea Fainali ya AFCON 2023
Sebastien Haller alifunga bao la ushindi dakika tisa kabla ya mchezo kumalizika wenyeji Ivory Coast wakinyakua taji la tatu la Kombe la Mataifa ya Afrika kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Nigeria kwenye mchezo wa fainali Uwanja wa Alassane Ouattara mjini Abidjan Jumapili (Februari 11).
Ni ushindi ambao haungetarajiwa na wengi siku chache zizlizopita hasa kutokana na kwamba timu hiyo ilipata vipigo viwili katika katika awamu ya makundi, kikiwemo kile cha mabao 4-0 kutoka kwa Equatorial Guinea, kabla ya kujizatiti katika raundi ya mchujo.
Bao la kichwa la William Troost-Ekong liliiwezesha Nigeria kuongoza kipindi cha kwanza lakini mchezaji machachari wa Ivory Coast, Franck Kessie alisawazisha.
Wenyeji Ivory Coast walilazimika kutoka nyuma mara kadhaa kwenye dimba hilo na walifanya hivyo tena wakati Haller alipoelekeza krosi ya Simon Adingra wavuni, jambo lililomfurahisha sana kocha wake Emerse Fae, ambaye alianza mchuano huo kama msaidizi wa Mfaransa Jean-Louis Gasset aliyetimuliwa.
Mafanikio ya Ivory Coast yanawafanya kuongeza taji la mwaka huu kwa mengine waliyoyapata mwaka wa 1992 na 2015, wakati ushindi huu pia unawaruhusu kuungana na Nigeria kwa ushindi wa tatu wa Kombe la Mataifa kwa jumla.
Ni Misri, Cameroon na Ghana pekee ambazo zimeshinda taji hilo mara nyingi zaidi.
Ivory Coast imekuwa nchi mwenyeji wa kwanza kushinda AFCON tangu 2006.
- Reuters
#afcon #totalenergiesafcon2023 #soccer #football #africa #news #voaafrica
12 Jul 2025
- The motorists termed Ndung'u and Kandie's resignations as 'deeply concerning' and 'sudden'.
12 Jul 2025
- Nyachae had previously been shortlisted to become the new chair of the IEBC.
12 Jul 2025
- Karua has been in politics for close to three decades.
12 Jul 2025
- The Kenya National Highways Authority (KeNHA) has announced a temporary traffic disruption on Mombasa Road near Syokimau Railway Station to allow for the installation of the fabricated footbridge beams of the Syokimau Railway Footbridge.
12 Jul 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has dismissed Orange Democratic Movement (ODM) leader Raila Odinga's proposal for a national dialogue to solve the country's challenges, arguing that the ODM leader has engaged in such talks in the past without…
12 Jul 2025
- The motorists termed Ndung'u and Kandie's resignations as 'deeply concerning' and 'sudden'.
12 Jul 2025
- Clinicians in Machakos County have officially called off a planned strike just two hours before its scheduled commencement, which was to start at midnight on Saturday.
12 Jul 2025
- Nyachae had previously been shortlisted to become the new chair of the IEBC.
12 Jul 2025
- Iranian authorities carried out on Saturday a public execution of a man convicted of raping and murdering a young girl, the judiciary said.
12 Jul 2025
- There was no proof of the allegations that the land was a road reserve or public property.
12 Jul 2025
- The maintenance exercise will take six hours from 4am to 10am.
12 Jul 2025
- The cop went viral for criticising CS Murkomen for urging police to shoot violent protesters looting people's properties.
12 Jul 2025
- Julia Njoki was arrested on July 7 during nationwide protests against police violence and government corruption, held on the anniversary of Saba Saba Day, which commemorates Kenya’s struggle for multi-party democracy.