- 674 views
Serikali itatumia kima cha shilingi bilioni 37 katika muda wa miaka mitano kununua vifa vya kisasa vya usalama ili kuwawezesha maafisa wa usalama kupambana na uhalifu, ikiwemo ugaidi, wizi wa mifugo na ulanguzi wa mihadarati. Akizungumza katika kaunti ya Lamu, waziri wa Usalama wa ndani Prof Kithure Kindiki amesema tayari awamu ya kwanza ya vifaa hivyo vyenye thamani ya shilingi bilioni saba vimewasili humu nchini na vitapokezwa wakuu wa vitengo vya usalama katika muda wa wiki moja.
Serikali yasema itanunua vifaa vya kisasa vya usalama kwa shilingi bilioni 37
- 5 Jul 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has launched scathing accusations against President William Ruto, claiming the Head of State is systematically persecuting the Mt. Kenya community.
- 5 Jul 2025 - Royal Media Services was on Friday night recognized as one of the top community promoters of road safety in Kenya.
- 5 Jul 2025 - Muslim religious leaders in Mombasa are now urging President William Ruto to build a mosque within the State House, following his recent admission that a church has been constructed on the grounds.
- 5 Jul 2025 - The Judicial Service Commission has condemned police for firing gunshots while re-arresting a suspect inside the Ruiru Law Courts on Friday, July 4.
- 5 Jul 2025 - Health Cabinet Secretary Adan Duale has warned private hospitals in the country against cheating on admissions to get Social Health Authority (SHA) medical insurance funds.
- 5 Jul 2025 - The demand comes after Ruto defended the construction of Ksh1.2 billion church.
- 5 Jul 2025 - Freed after nine years: Court quashes 'President's Pleasure' detention of mentally ill murder convict.
- 5 Jul 2025 - Kenyans have been urged to lease idle government land to help address the country’s growing food deficit.
- 5 Jul 2025 - No injuries or casualties were reported but the incident caused heavy congestion.
- 5 Jul 2025 - Mama Mildred passed away on the morning of Saturday, June 14.