- 316 views
Katika kaunti ya Nakuru bunge la kaunti hiyo jana lilijadili mswada wa kumtaka seneta wa kaunti hiyo Tabitha Karanja Keroche kukoma kuidalilisha na kudharau bunge hilo. Hii ni baada ya Seneta Keroche mwezi jana kupitia kwa viombo vya habari kulitaka bunge hilo kumung'oa mamlakani Gavana wa kaunti hiyo Susan Kihika kwa kile seneta Keroche alichotaja kama Gavana Kihika kushindwa kutekeleza majukumu yake baada ya mvurutano wa umilik wa hosipitali ya War Memorial, kaunti ya Nakuru ilichukua hosipitali hiyo mwezi jana baada watu saba wakiwemo wakurungenzi watatu kufikiswa mahakamani Nakuru na kushitakiwa kwa madai ya kutumia vyeti ghushi katika kuongeza miaka ya umiliki wa hosipitali hiyo kwa miaka mingine hamsini Zaidi. Alex Mbugua mwakilishi wadi kutoka Lakeview ndiye aliyeleta mswada huo akimtaka spika Maina Karuri wa bunge hiyo pamoja na kiongozi wa wengi kumuandikia seneta barua ya kufika katika bunge hiyo na na kuelezea sababu za kutaka Kihika kuondolewa uongozini. Wanadai Seneta Keroche hakufata Sheria za bunge kwa kwenda bungeni na kuwaelezea sababu za kumuondoa Kihika badala yake alitumia vyombo vya habari na mikutano ya hadara.
Bunge la kaunti la Nakuru lamtaka Seneta Keroche aache kulidhalilisha
- 5 Jul 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has launched scathing accusations against President William Ruto, claiming the Head of State is systematically persecuting the Mt. Kenya community.
- 5 Jul 2025 - Royal Media Services was on Friday night recognized as one of the top community promoters of road safety in Kenya.
- 5 Jul 2025 - Muslim religious leaders in Mombasa are now urging President William Ruto to build a mosque within the State House, following his recent admission that a church has been constructed on the grounds.
- 5 Jul 2025 - The Commission says use of force in court premises undermines the rule of law.
- 5 Jul 2025 - The closure is set to affect major transport activities in the heart of Kenya's capital.
- 5 Jul 2025 - Popular local dance continues to take pastoral border areas in Kenya and Uganda by storm.
- 5 Jul 2025 - Nairobi County has launched 11 locally-developed projects aimed at addressing major shortcomings in the city’s cancer care system.
- 5 Jul 2025 - The incident happened on Friday evening, causing tension.
- 5 Jul 2025 - Dado will lead the Public Service Superannuation Fund Board for three years, effective from July 4, 2025.
- 5 Jul 2025 - The Judicial Service Commission has condemned police for firing gunshots while re-arresting a suspect inside the Ruiru Law Courts on Friday, July 4.