- 1,305 views
Katibu Mkuu wa Idara ya Urekebishaji Tabia na Jela Nchini Salome Beaco ameongoza hafla ya kuzindua kiwanda cha kiufundi cha kuoka Mikate pamoja na ushonaji nguo, ambacho kimejengwa na Chandaria Foundation kama njia ya kupeana kwa jamii. Kwenye hotuba iliyosomwa na jaji mkuu wa Meru kwa niaba ya jaji mkuu wa Mahakama Nchi Martha Koome, Koome amesema uzinduzi huo ni ishara ya ushirikiano kati ya serikali na taasisi za binafsi kutatua changamoto katika jamii na taifa. Kama Njia ya kupunguza mrundiko katika jela ya Meru, mahakama ya Meru imetoa amri ya kuwapunguzia kifungo wafungwa 11 Ambao wataachiliwa huru.
Mahakama ya Meru yaamrisha kuwapunguzia kifungo wafungwa 11
- 5 Jul 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has launched scathing accusations against President William Ruto, claiming the Head of State is systematically persecuting the Mt. Kenya community.
- 5 Jul 2025 - Royal Media Services was on Friday night recognized as one of the top community promoters of road safety in Kenya.
- 5 Jul 2025 - Muslim religious leaders in Mombasa are now urging President William Ruto to build a mosque within the State House, following his recent admission that a church has been constructed on the grounds.
- 5 Jul 2025 - The closure is set to affect major transport activities in the heart of Kenya's capital.
- 5 Jul 2025 - Popular local dance continues to take pastoral border areas in Kenya and Uganda by storm.
- 5 Jul 2025 - Nairobi County has launched 11 locally-developed projects aimed at addressing major shortcomings in the city’s cancer care system.
- 5 Jul 2025 - The incident happened on Friday evening, causing tension.
- 5 Jul 2025 - The Judicial Service Commission has condemned police for firing gunshots while re-arresting a suspect inside the Ruiru Law Courts on Friday, July 4.
- 5 Jul 2025 - Health Cabinet Secretary Adan Duale has warned private hospitals in the country against cheating on admissions to get Social Health Authority (SHA) medical insurance funds.
- 5 Jul 2025 - The demand comes after Ruto defended the construction of Ksh1.2 billion church.