Vyanzo vya ulinzi: Uharibifu ulioletwa na shambulizi la Israeli
Watu walikusanyika Alhamisi asubuhi (Februari 15) mji wa Nabatieh ulioko kusini mwa Lebanon karibu na magari ya kubeba wagonjwa, wakikagua uharibifu na kifusi cha jengo lililopigwa kwa kile vyanzo vilisema ilikuwa ni shambulizi la Israeli.
Shambulizi hilo katika jengo Jumatano jioni (Februari 14) liliuwa wanawake wasiopungua watatu, watoto kadhaa na mwanaume mmoja, kulingana na mkurugenzi wa hospitali ya mji huo, Hassan Wazni, na vyanzo vingine vitatu vya usalama. Watu kadhaa pia walijeruhiwa, Wazni aliliambia shirika la Reuters. Mwanamke mmoja na watoto wawili waliuawa katika shambulizi jingine mapema siku hiyo.
Wanamgambo wa Hezbollah kadhaa waliuawa pia na shambulizi hilo la Israeli katika vijiji vilivyopo kusini mwa Lebanon siku ya Jumatano, vyanzo vitatu vya usalama vya Lebanon vilisema, wakati Israel ilisema ilijibu shambulizi la roketi la Hezbollah ambalo lilimuua mwanajeshi wake.
Hezbollah na jeshi la Israeli wamekuwa wakishambuliana kwa silaha katika mpaka wa Israel na Lebanon kwa zaidi ya miezi minne, baada ya kikundi chenye silaha cha Lebanon kushambulia kwa roketi upande wa pili wa mpaka ambao unagombaniwa wakiwaunga mkono washirika wake Wakipalestina Hamas.
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #iran
12 Jul 2025
- The disruption is set to last for several hours.
12 Jul 2025
- This came after KeRRA and KeNHA bosses stepped down in quick succession.
12 Jul 2025
- Kenya experiences an influx of fake goods into its market on a regular basis.
12 Jul 2025
- Clinicians in Machakos County have officially called off a planned strike just two hours before its scheduled commencement, which was to start at midnight on Saturday.
12 Jul 2025
- Iranian authorities carried out on Saturday a public execution of a man convicted of raping and murdering a young girl, the judiciary said.
12 Jul 2025
- Gaza's civil defence agency said Israeli forces killed 18 people on Friday, including 10 who were waiting for aid in the south of the war-ravaged territory.
12 Jul 2025
- At least seven people have been confirmed dead following a tragic road accident involving a lorry transporting tea leaves and a public service matatu at Kijauri Market in Borabu Constituency.
12 Jul 2025
- The Cabinet Secretary for Public Service, Human Capital Development & Special Programmes, Geoffrey Ruku, has challenged the Kenya Red Cross Society to seek accreditation from the Green Climate Fund (GCF) to enhance its capacity in building climate-…
12 Jul 2025
- A son of Mexican drug kingpin Joaquin "El Chapo" Guzman pleaded guilty to drug charges in Chicago on Friday in a deal struck with prosecutors in return for a reduced sentence.
12 Jul 2025
- There is a need to raise awareness on gender–land–climate nexus to strengthen the role of women parliamentarians and duty bearers in gender-responsive land and climate policy-making.
12 Jul 2025
- A court in Madagascar has sentenced a man to surgical castration for the rape of a child in 2024, a judicial official said, in the first such measure on the Indian Ocean island.
12 Jul 2025
- More than 20 civilians, including children, were killed after a recent air strike on a monastery in central Myanmar, an anti-junta fighter and a resident told AFP Saturday. Myanmar has been consumed by civil war since the military ousted a democratic…
12 Jul 2025
- The disruption is set to last for several hours.