- 671 views
Maafisa wa afya serikali kuu wameanzisha uchunguzi kuhusu shehena ya zaidi ya tani elfu moja za sukari zilizonaswa na halmashauri ya ukusanyaji ushuru nchini KRA kaunti ya mombasa. Kulingana na wakuu wa kampuni ya Mitchell Cotts Freight Kenya Ltd, maafisa wa afya tayari wamechukuwa sampuli kwenye shehena hiyo ili kutoa mwelekeo kuhusu bidhaa hiyo. Mkurugenzi wa mipango katika kampuni hio James Rarieya pia alipuuzilia mbali madai kwamba sukari hiyo tayari imepenya na kuingia katika maduka ya umma nchini. Kati ya makasha 46 ya sukari iliyoagizwa nchini kutoka Mauritius, 13 yanadaiwa kuharibika baada ya meli hiyo kuingia maji.
Maafisa wa afya wanachunguza tani 1,000 za sukari iliyokuwa miongoni mwa shehena iliyoharibika
- 16 Jul 2025 - A Kisumu court has on Wednesday, July 16, sentenced a mentally ill woman to serve a three-year non-custodial term with mandatory psychiatric treatment after she was found guilty of killing her six-month-old son.
- 16 Jul 2025 - The Ministry of Health has now called on Kenyans to remain calm, following the reported cases of deaths due to an unidentified illness in Mombasa.
- 16 Jul 2025 - President William Ruto has asked leaders to stop inciting young people to violence and chaos and instead be part of the solution to the challenge of youth unemployment.
- 16 Jul 2025 - The Malaba Law Court has sentenced to 30 years imprisonment a school watchman it found guilty of defiling a 12-year-old school girl in Teso North, Busia County.
- 16 Jul 2025 - A 45-year-old woman and her four children have died in a deadly night fire in Bulapesa area of Isiolo town in what is believed to be a case of arson linked to a suspected love triangle.
- 16 Jul 2025 - Former deputy president Rigathi Gachagua has faced the ire of Kenyans after joining the thousands of heartbroken fans and leaders who shared their tributes to fallen comedian KK Mwenyewe - a young man who shot to fame by comically imitating the then-…
- 16 Jul 2025 - ICT Cabinet Secretary William Kabogo has said that the ministry will take action against parents or guardians who provide opportunities for their children to access pornographic material.
- 16 Jul 2025 - Pipeline Estate is one of Nairobi’s most densely populated estates.
- 16 Jul 2025 - When President William Ruto took office in 2022, he pledged to end police brutality. Three years on, he has instructed officers to shoot violent protesters "in the leg".
- 16 Jul 2025 - The teachers’ employer met the SRC on Tuesday to agree on a counter-offer to the teachers’ demands.