- 1,784 views
Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka amekashifu kukithiri kwa ufisadi katika asasi mbali mbali za serikali. Akizungumza katika kaunti ya Nakuru, Kalonzo alilalamikia ongezeko la visa vya ufisadi haswa kwa maafisa wa umma kama ilivyofichuliwa na ripoti ya tume ya huduma za umma kuhusu maafisa wa serikali waliotumia stakabadhi ghushi za masomo ili kupata kazi. Na kama anavyoarifu Laura Otieno, kinara huyo wa azimio aidha aliikashifu serikali ya Kenya kwaza kwa kupanda kwa gharama ya maisha.
Kalonzo akashifu kukithiri kwa ufisadi
- - Tribe47|| DJ Osama ››
- 28 Jun 2025 - Residents refuse to return home despite being assured by security by government.
- 28 Jun 2025 - Bilali and football coach Robert Otiti directed to deposit a cash bail of Sh20,000 each.
- 28 Jun 2025 - Let Gen Zs pursue change, but not be naive to political reality
- 28 Jun 2025 - Lessons for Kenyans and police after June 25th bloody protests
- 28 Jun 2025 - Court overturns CBK ban on union fees remission
- 28 Jun 2025 - Raila claims opposition reached out to him to unite against Ruto
- 28 Jun 2025 - Mr President, take responsibility of Wednesday's deaths, destruction
- 28 Jun 2025 - Politicians slinging mud at one another following death, violence during Wednesday’s protests.
- 28 Jun 2025 - Interior CS says his order is meant to allow the police to repulse violent demonstrators.
- 28 Jun 2025 - He reportedly fears that some of the youth arrested from his constituency might spill the beans.