- 3,739 views
Hakimu mkuu wa mahakama ya Mombasa Alex ithuku ameagiza washukiwa wa mauwaji ya shakahola kupelekwa hospitalini kwa matibabu na kufanyiwa uchunguzi zaidi. Hii ni baada ya mhubiri Paul Mackenzie na wenzake 94 kushindwa kuhudhuria kikao cha mahakama kinachojadili hatma ya dhamana yao baada ya kuwasili mahakamani wakiwa wadhaifu. Wakili wao Wycliffe Makasembo alidai kuwawashukiwa hao wameanza tena kufunga kula na kunywa gerezani. Inadaiwa washukiwa hao hawajala kwa siku sita. Iliwalazimu maafisa wa polisi kuwasaidia washukiwa kuwatoa kwenye magari na hata hakimu kuzuru eneo walilotengewa nje baada ya kushindwa kufika kizimbani. Kesi hii itaendelea kwa njia ya mtandao tarehe tano machi.
Mahakama yaamuru mhubiri tata Mackenzie kutibiwa
- - Duniani Leo ››
- - Tribe47|| DJ Osama ››
- 28 Jun 2025 - Police in Isiolo have launched investigations into a shooting incident and acts of vandalism that occurred at the Isiolo County Assembly during the chaos that followed Thursday’s impeachment motion against Governor Abdi Ibrahim Guyo.
- 28 Jun 2025 - One person has died and another sustained serious injuries after a wall collapsed during a house demolition in Isyukoni Village, Ekalakala Sub-location, Masinga Sub-county.
- 28 Jun 2025 - Eleven youths were on Friday charged at the Gichugu Law Courts with malicious damage to property contrary to Section 339(1) of the Penal Code.
- 28 Jun 2025 - Hawkers have been a thorn in Nairobi County's flesh since time immemorial.
- 28 Jun 2025 - The order is reckless, unconstitutional and a dangerous green light for extrajudicial killings.
- 28 Jun 2025 - Short of commanders, deprived of much of its tunnel network and unsure of support from its ally Iran, Hamas is battling to survive in Gaza in the face of rebellious local clans and relentless Israeli military pressure.
- 28 Jun 2025 - The United Nations remains the only organisation of its kind, and the only one to have endured for so long. That longevity is remarkable when we consider the context of its founding: assembled from the rubble of not one, but two global cataclysms. Its…
- 28 Jun 2025 - The current cost-of-living crisis has left many citizens, like Kathumba, without any savings.
- 28 Jun 2025 - The fertiliser is a vital input for farmers across the region and its loss threatens food and cash crop production.
- 28 Jun 2025 - Rwanda and the Democratic Republic of Congo have signed a peace deal in Washington aimed at ending decades of devastating conflict between the two neighbours, and potentially granting the US lucrative mineral access. The deal demands the “disengagement…