'Tunakufa kwa njaa na hakuna chakula au maji yaliyobakia Gaza, kuna njaa...'
Wapalestina walikimbilia kupata magunia ya unga Jumatatu (Februari 19) kutoka kituo cha kugawa chakula kinacho endeshwa na Umoja wa Mataifa katika mji ulioangamizwa wa Gaza.
“Tunakufa kwa njaa na hakuna chakula au maji yaliyobakia Gaza, kuna njaa,” alisema Abdullah Sawaf.
Shambulizi la anga na ardhini linalofanywa na Israel limeharibu sehemu kubwa ya Ukanda wa Gaza na kuwalazimisha karibu wakaazi wote kukimbia makazi yao.
Vita vilivyoanzishwa na shambulizi la Hamas huko Kusini mwa Israel Oktoba 7 ambapo watu 1,200 waliuawa na wengine 253 kutekwa, kulingana na Israel.
Ikiapa kuitokomeza Hamas, Israel imejibu mashambulizi hayo kwa mashambulizi ya anga na ardhini ambayo kwa mujibu wa hesabu za Gaza imeuwa zaidi ya Wapalestina 29,000 na kujeruhi zaidi ya watu 69,000. Vita hiyo imewakosesha makazi watu wa eneo hilo finyu milioni 2.3 na kuligeuza eneo kuwa kifusi. - Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #iran
30 Jun 2025
- The inflation rates paint a picture of the economy under President Ruto.
30 Jun 2025
- Ruto joined other world leaders in Seville, Spain on Monday
30 Jun 2025
- The DCI boss addressed goons who resorted to violence and looting of property on June 25.
1 Jul 2025
- The government is now appealing to parents, religious leaders, and community elders to take a more proactive role in guiding young Kenyans toward peaceful and lawful means of civic engagement.
1 Jul 2025
- The decision, made amid mounting public pressure on the state's response to the unrest, was confirmed in a statement issued Monday by Health Cabinet Secretary Aden Duale.
1 Jul 2025
- The autopsies, conducted at Kilome MNH Hospital Mortuary, revealed that Garson Mutisya, 33, and Makau Mualuko, 23, sustained fatal gunshot wounds to the chest, with the bullets exiting through their backs.
1 Jul 2025
- A 92-year-old British man was convicted on Monday for a rape and murder committed nearly 60 years ago, in one of the UK's longest-running cold cases.
30 Jun 2025
- Four former executives at South Africa's failing transport company were arrested and charged Monday over allegations of corruption worth millions of dollars in a high-profile case linked to the plunder of state resources.
30 Jun 2025
- A peace deal between the Democratic Republic of Congo and Rwanda aimed at ending decades of conflict in eastern DRC paves the way for "a new era of stability", Congolese President Felix Tshisekedi said Monday.
30 Jun 2025
- Amin revealed that 448 suspects have already been charged in court
30 Jun 2025
- Two firefighters were killed and a third injured on Sunday after a gunman shot at them
30 Jun 2025
- A Nairobi court has acquitted a former Officer Commanding Station (OCS) who had been charged with aiding a suspect to escape from lawful custody.
30 Jun 2025
- The government has called upon parents, religious leaders, and elders to guide the younger generation to exercise restraint and embrace peaceful, constructive ways of demanding accountability from the state.