Shambulizi la Israel laharibu jengo, mwanafunzi aeleza hofu iliyowagubika
Syria imesema Jumatano kuwa mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Israeli yamepiga makazi ya raia huko Damascus, na kuua watu wasiopungua wawili.
Shirika la Habari la Syria lilisema mashambulizi hayo yamefanyika katika kitongoji cha Kfar Sousseh, ambacho ni makao makuu ya usalama na jeshi.
Hakuna maelezo ya haraka kuhusu shambulizi hilo kutoka kwa jeshi la Israeli, ambalo lilifanya mashambulizi kadhaa nchini Syria katika miaka ya karibuni.
Ni nadra kwa Israel kukiri kufanya mashambulizi lakini imesema hatua zake huko Syria zinalenga majeshi yanayo ungwa mkono na Iran.
Shambulizi la anga la mwezi Februari 2023 limepiga ujirani ule ule kama ilivyokuwa kwa shambulizi la Jumatano, lililouwa wataalam wa kijeshi kadhaa wa Iran. - VOA, AP, AFP, Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #iran #syria.
12 Jul 2025
- The motorists termed Ndung'u and Kandie's resignations as 'deeply concerning' and 'sudden'.
12 Jul 2025
- Nyachae had previously been shortlisted to become the new chair of the IEBC.
12 Jul 2025
- Karua has been in politics for close to three decades.
12 Jul 2025
- Democracy for the Citizens Party (DCP) party leader Rigathi Gachagua has said that the opposition is finalizing evidence against President William Ruto for submission to the International Criminal Court.
12 Jul 2025
- The Cabinet Secretary for Public Service, Human Capital Development, and Special Programmes, Geoffrey Ruku, has called on the Kenya Red Cross Society to pursue accreditation from the Green Climate Fund (GCF) to strengthen its role in building climate-…
12 Jul 2025
- The Kenya National Highways Authority (KeNHA) has announced a temporary traffic disruption on Mombasa Road near Syokimau Railway Station to allow for the installation of the fabricated footbridge beams of the Syokimau Railway Footbridge.
12 Jul 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has dismissed Orange Democratic Movement (ODM) leader Raila Odinga's proposal for a national dialogue to solve the country's challenges, arguing that the ODM leader has engaged in such talks in the past without…
12 Jul 2025
- The motorists termed Ndung'u and Kandie's resignations as 'deeply concerning' and 'sudden'.
12 Jul 2025
- Clinicians in Machakos County have officially called off a planned strike just two hours before its scheduled commencement, which was to start at midnight on Saturday.
12 Jul 2025
- Police Constable Hiram Kimathi has claimed his life is in danger following a KTN interview, saying he fears abduction rather than lawful arrest.
12 Jul 2025
- Nyachae had previously been shortlisted to become the new chair of the IEBC.
12 Jul 2025
- Iranian authorities carried out on Saturday a public execution of a man convicted of raping and murdering a young girl, the judiciary said.
12 Jul 2025
- President William Ruto has announced that the government has dedicated Ksh400 billion to stabilise milk prices in the country. In his speech read by Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi during the 103rd Ushirika Day Celebrations at the Kenyatta…